Mawazo ya ACT nimeyaelewa ni maoni mazuri. Lakini kwa mujibu wa Katiba iliyopo tutazuia vipi makucha ya Mwenyekiti wa chama cha ccm ktk kupenyeza watu wake ndani ya tume huru ya uchaguzi??
Hiyo sheria ya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi itatekelezwa na watu gani, na bunge gani sio hili hili?