Dazla tech
Member
- Nov 10, 2023
- 38
- 19
Nilikuwa nataka Hisense smart tv lakini kwa wingi wa matatizo ya kioo nimeghairiHISENSE INCH 58 KIOO BEI GANI
vioo vyake laini sana sio kama matoleo ya zamaniNilikuwa nataka Hisense smart tv lakini kwa wingi wa matatizo ya kioo nimeghairi
kwa wale wenye changamoto za kiufundi kama vile flat tv na vifaa vya umeme vya nyumbani tunarekebisha na kununua vifaa hivyo kwa wanaotaka kutengeneza au kuziuza asanteni na karibuni sana.
Tunapatikana kariako msimbazi.View attachment 2855445
LG inch 22 kubadilisha kioo Bei gani?kwa wale wenye changamoto za kiufundi kama vile flat tv na vifaa vya umeme vya nyumbani tunarekebisha na kununua vifaa hivyo kwa wanaotaka kutengeneza au kuziuza asanteni na karibuni sana.
Tunapatikana kariako msimbazi.View attachment 2855445
Sidhani.. Itakua zali sijui, mwaka wa pili huu "43 Hisense Smart TV inaendelea kudunda.Nilikuwa nataka Hisense smart tv lakini kwa wingi wa matatizo ya kioo nimeghairi
tv ni matunzo tu mkuuvioo vyake laini sana sio kama matoleo ya zamani
brand zote tupo kariako msimbazi b mkabala na jengo la simba 0655226738Mkuu mbona unakurupuka kutoa taarifa, hujataja location, price, wala brand gani mnabadilisha
laini sana..........nina hisense nilinunua kenya 2017 hapo inadunda mpaka leo,,,,,ila hii niliochukua kariakoo mwaka jana hata mwaka haikumaliza kioo kikapata crack na ilikua imebebwa tu kupelekwa chumba kingine,,,kioo chake ukigusa kidogo tu kina crack bora wangeziwekea protectortv ni matunzo tu mkuu
Uko kama mimi nilitaka ninunue Hisense nimesitisha, nitaendelea na SamsungNilikuwa nataka Hisense smart tv lakini kwa wingi wa matatizo ya kioo nimeghairi
Asante sanavioo vyake laini sana sio kama matoleo ya zamani
kioo au nn bossLg inchi 43 ni bei gan?
sijaona swali lako mkuuTunauliza maswali hatujibiwi mkuu mleta Uzi. Shida iko wapi??
kampuni za tv ziko nyingi nzuri na ni nafuu mfano Alitop,mr uk, homebase na ailyons.Uko kama mimi nilitaka ninunue Hisense nimesitisha, nitaendelea na Samsung