Tunachapa vitabu, mabango, brochures kwa bei nafuu

Troubleshooter

Senior Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
120
Reaction score
136
Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352.

Unapata kazi kwa uharaka na kwaubora wa hali ya juu, vitabu tunaprinti kuanzia kopi 10 na kuendelea, kwetu mteja ni mfalme.

 
Brochure ya Z-Fold mbele na nyuma mnaprint kwa bei gani boss? Na vipi delivery kwa mtu aliyepo Mwenge?
 
Kitabu cha Receipt shingap ,na business card?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…