Tunacheka na kufurahi kama vile hatufi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hivi kweli kwa maisha haya ambayo ukiugua corona huchukua round mnapata wapi ujasiri wa kufurahia maisha na huku mnasema watu wanatembea sio mchezo. Mimi binafsi nilitegemea sasa hivi muwe mnakesha mkiiogopa ile siku inayokuja kuwasaga meno na kuwaliza.

Cha ajabu mnachati tu katika na group yenu huko mnacheka mkiona vituko mixer mapicha ya ngono na maulevi kwa juu. Kwanini WEWE kifo tunakusahau haraka sana wakati wewe tu ilikuwa iwe ni sababu tosha kwetu sisi kuwa wacha Mungu au ndo kusema tutaokolewa na neema.
 
Great thinker himself[emoji1666][emoji1666]
 
^If you say the truth, you die; if you lie, you die; I, Senator Dinno Melaye, have decided to say the truth and die!^ 🙂
 
Survival of the Fittest ,Only The strong will Survive - Darwin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…