Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,147
Zamani sio siku hizi, mpira wa ufundi unachezwa sana tu, fuatiliaMechi za Simba na Yanga huwa zinakosaga mchezo wa kiufundi zaidi ni kukamiana,tuombe viongozi wa timu hizi wabadilike wazio ngoze timu hizi ktk weledi wa mpira badala ya mambo ya kizamani,ukiangalia mechi kubwa za South Afrika au Zambia unaona ufundi wa mpira sio hii butua butua ya hapa, mwisho mmoja akifungwa zianaanza lawama mara huyu kauza mechi basi ilimradi tu kuharibu starehe ya mpira.
Muda utasema mkuuZamani sio siku hizi, mpira wa ufundi unachezwa sana tu, fuatilia
Sent using Jamii Forums mobile app