Tunadhamiria kumrudishia Mwijaku mahari yake atupe binti yetu anayemdhalilisha kutwa nzima

Tunadhamiria kumrudishia Mwijaku mahari yake atupe binti yetu anayemdhalilisha kutwa nzima

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice

Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe

Ukiachia hilo la kumuweka bint yetu bondi pia hatufurahishwi na vitendo vyake anavyo vifanya mbele ya jamii bila kuogopa akizingizia kuwa ni maokoto Anatafuta sasa tu nasema tumechoka na ss wajomba na wana ukoo wote tumekubali hiyo nfoa ife mara moja

"bint anatudhalilisha San na huyo mpuuz wa kigoma mshamba mkubwa"
Nukuu ya Mama mdogo

PIA SOMA

- Mwijaku vipi ameshamkabidhi Ali Kamwe Mke wake haaa!
 
Ss wachaga waishio dsm tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na bint waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anacho kifanya mwijaku kwa kwa bint Alice

Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe

Ukiachia hilo la kumuweka bint yetu bondi pia hatufurahishwi na vitendo vyake anavyo vifanya mbele ya jamii bila kuogopa akizingizia kuwa ni maokoto Anatafuta sasa tu nasema tumechoka na ss wajomba na wana ukoo wote tumekubali hiyo nfoa ife mara moja

"bint anatudhalilisha San na huyo mpuuz wa kigoma mshamba mkubwa"
Nukuu ya Mama mdgo
Aisee
 
Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice

Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe

Ukiachia hilo la kumuweka bint yetu bondi pia hatufurahishwi na vitendo vyake anavyo vifanya mbele ya jamii bila kuogopa akizingizia kuwa ni maokoto Anatafuta sasa tu nasema tumechoka na ss wajomba na wana ukoo wote tumekubali hiyo nfoa ife mara moja

"bint anatudhalilisha San na huyo mpuuz wa kigoma mshamba mkubwa"
Nukuu ya Mama mdogo

PIA SOMA
- Mwijaku vipi ameshamkabidhi Ali Kamwe Mke wake haaa!
Acheni story za vijiwe vya mafundi viatu, yaani Wachaga wajadiliane kumtoa Mchaga sehemu anayopata malisho?
 
Wanaume mnapenda san kujishughulisha na habari za wanawake kuliko za kwenu akishamuacha mkewe awaoe nyie si ndio?
 
Huyu mwanamke angemwambie usinihusishe katika harakati zako za upuuzi wa mambo yako huko nje kabisa. Usinposti wala kunitaja staki kabisa.
Mimi nashangaaga yule mke wake ni Elimu nzuri ya maana lakini kwanini anafumbiaga ujinga wa mme wake.😏😏 Lakini mambo ya ndoa yanausiri sana sijui wachoongeaga😥
 
Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice

Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe

Ukiachia hilo la kumuweka bint yetu bondi pia hatufurahishwi na vitendo vyake anavyo vifanya mbele ya jamii bila kuogopa akizingizia kuwa ni maokoto Anatafuta sasa tu nasema tumechoka na ss wajomba na wana ukoo wote tumekubali hiyo nfoa ife mara moja

"bint anatudhalilisha San na huyo mpuuz wa kigoma mshamba mkubwa"
Nukuu ya Mama mdogo

PIA SOMA

- Mwijaku vipi ameshamkabidhi Ali Kamwe Mke wake haaa!
AKIZINGIZIA
 
Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice

Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe

Ukiachia hilo la kumuweka bint yetu bondi pia hatufurahishwi na vitendo vyake anavyo vifanya mbele ya jamii bila kuogopa akizingizia kuwa ni maokoto Anatafuta sasa tu nasema tumechoka na ss wajomba na wana ukoo wote tumekubali hiyo nfoa ife mara moja

"bint anatudhalilisha San na huyo mpuuz wa kigoma mshamba mkubwa"
Nukuu ya Mama mdogo

PIA SOMA

- Mwijaku vipi ameshamkabidhi Ali Kamwe Mke wake haaa!
MCHAGA ALIFUATA FEDHA NA NJIA YA KUMLETEA FEDHA NDIYO HIYO,EBU JARIBUNI TUONE KAMA ATAKUBARI KUONDOKA.
 
Back
Top Bottom