Ni hayo tu !
Watanzania wakiwa na hamasa kubwa na mechi,huwa tunapigwa, Mech ya Cape verde ya kwanza na ya Lesotho hii na nyingine nyingi zinathibitisha
Tunaenda Afcon sababu,Mechi dhidi Uganda itachezwa ktk mazingira ya kukatisha tamaa sana
Matumain ya wabongo hayatakuwepo, infact wengi wameshakata tamaa as of now.
Hii huwa inakuwaga chachu kubwa sana kwa TAIFA stars
Hivyo tutawapiga Uganda,tutapa point 8
Cape verde na Lesotho wata droo na kuwa na point 5 na 6 respectively