Tunaenda ICU!

its like you copy my mind and paste,
thanks so much more than umenena yaliyo mema mbele ya jamii ya mmu
ni kweli mtu anakuwa na mpenzi na abahatika(wengine hawabahatiki) kugundua mapungufu ya mpenzi wake halafu
anahisi kuwa yeye atambadilisha wkiishafunga ndoa...mmhh yalimkuta rafiki yangu sitosahau na hiyo ndoa haikudumu hata miaka miwili wameshaachana
kwani dada alijua wazi kuwa suruali ya kaka haifungi(means aliikuta wazi) ila kwa imani
akajua kuwa ataifunga ndani ya ndoa alipofika
ndani ya ndoa akaona mwenzake ndio kavua suruali yotee kabisa na akaanza kuchanganyikiwa mpaka kuachana...
iweni makini na ushauri huu ni mzuri kama hakufai in preliminary brain report achaneni.
 
Mkuu hongera, desa lak, leo limetulia nimegraduate maana kuna vitu sikuwa navifahamu.
 
Mkuu hongera desa lako limetulia, kupitia desa hili leo nimegraduate maana kuna vitu sikuwa navifahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…