Ndio ukweli huo kaka,juzi alikuwa Oslo na bakuli lake na inawezekana kaja na ndege yake,lakini Norwegian prime minister hana ndege yake,na wala hana hiyo misafara ya msululu wa magari, yaani hata mfalme wao ni hivo. Sijui wabongo tuna laana gani?Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
Serekare ikiamuaga 🙌🙌🙌🙌
Hatuna umeme?Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
Raha ya misafara ni pale yanapogongana yenyewe kwa yenyewe!Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
Halafu tunanunulia mashangingi ya Mil 600Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
CCM ni janga la taifa namba moja.Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
“A fool and his money are soon parted.”Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia