Tunafanya full system diagnosis kwenye magari

Tunafanya full system diagnosis kwenye magari

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Hii ni Diagnosis ambayo inacover mifumo yote ya gari yako tofauti na OBD2 ambayo kwa mashine nyingi huwa inacover tu faults za engine japo ilitakiwa kucover power train yote(Yaani Engine na Automatic gearbox).

Hapa chini nimescreenshot baadhi tu ya mifumo ambayo inakuwa covered na Fully system Diagnosis japo list ni ndefu na inaendelea huko chini. 👇👇👇


Screenshot_20201002-172425.jpg

Lakini pia kama gari yako ina matatizo na haijaonesha code yoyote tunaweza kupitia Live Data. Live Data huonesha performance ya sensors, Valves na components mbalimbali kwenye gari yako. Hivyo inakuwa ni rahisi kuona kama component fulani inafanya kazi chini ya kiwango.

Pia kwa baadhi ya matatizo ya Gearbox yanaweza kuonekana kupitia live Data za Solenoid valves na sensors.

Mfano hivi ni baadhi ya vitu vya engine ambavyo unaweza kuona live Data zake.


Screenshot_20201002-174045.jpg

Pia hivi ni baadhi ya vitu vya Automatic Gearbox ambavyo tunaweza kuona Live Data zake.

Screenshot_20201002-173953.jpg

Pia Kulingana na kwamba kwamba sasa hivi magari yamekuwa na mifumo ya kisasa. Kuna mifumo ambayo matatizo yake ni ya Software hivyo solution yake haihitaji kubadili chochote zaidi ya kurelearn au kureset. Hivyo kwa sasa hivi tumeanza na matatizo kadhaa ambayo yanaweza kufanyiwa relearn na yakatatulika. Matatizo hayo ni

1. Gari kutotulia sailensa na valve au motor ni nzima.

2. Matatizo yote ya Automatic gearbox yanayohusu kubadilika kwa gear( kuchelewa, kushtuka, kukosa gear, n.k.)

3. TPMS reset

4. Kureset steering angle kwa gari zenye EPS.

5. System zingine kama EPB, Traction control n.k.

Kama una swali lolote karibu.
 
Mkuu lazima nije na chombo changu ikishaingia Tanzania..
Vipi Kwa gari mpya(used) ambayo imefanyiwa inspection Japan kuna haja ya kuifanyia tena bongo
 
Good advert but hujaweka contact hujasema mnapatikana wapi na hujasema mnapima kwa kiasi gani.

Nahitaji hii huduma gari langu lina chelewa kubadili gear hata nikitoka kyfanya swrvice. Ila pia sometimes huwa inawaka taa ya AT/ OIL TEMP na inakosa nguvu. Nimeenda kwa mafundi wng mara hydrolic sijui nn
 
Mkuu lazima nije na chombo changu ikishaingia Tanzania..
Vipi Kwa gari mpya(used) ambayo imefanyiwa inspection Japan kuna haja ya kuifanyia tena bongo

Mkuu nmewahi kutana na cases mbili za gari mpya(used) kutoka japan ambazo zilikuwa zinakunywa sana mafuta. Sifahamu kama zilikaguliwa Japan au Lah.

Ila jamaa walikuja tukapima na hakukuwa na code yoyote. Tukaangalia Fuel trims kwenye live Data na tukarekebisha tatizo.

Ingawa watu wengi wanaoagiza magari nje sidhani kama huwa zinawasumbua.
 
Mkuu nmewahi kutana na cases mbili za gari mpya(used) kutoka japan ambazo zilikuwa zinakunywa sana mafuta. Sifahamu kama zilikaguliwa Japan au Lah.

Ila jamaa walikuja tukapima na hakukuwa na code yoyote. Tukaangalia Fuel trims kwenye live Data na tukarekebisha tatizo.

Ingawa watu wengi wanaoagiza magari nje sidhani kama huwa zinawasumbua.
Poa mkuu Mimi nitakuja Tu najua kuna mambo mengi ya kuelekezana
 
Nitawafuta mwisho wa mwezi nime sha save contacts hope tatizo langu litatatuliwa this time.
 
Good advert but hujaweka contact hujasema mnapatikana wapi na hujasema mnapima kwa kiasi gani.




Nahitaji hii huduma gari langu lina chelewa kubadili gear hata nikitoka kyfanya swrvice. Ila pia sometimes huwa inawaka taa ya AT/ OIL TEMP na inakosa nguvu. Nimeenda kwa mafundi wng mara hydrolic sijui nn

Shukrani ingawa kifungu cha mwisho cha post thread yangu kimeeleza kila kitu kuhusu wapi napatikana na mawasiliano yangu. Kinasomeka hivi👇👇👇
20201002_193338.jpg


Anyway. Unaweza kunicheck tukasolve ishu yako.
 
Hii ni Diagnosis ambayo inacover mifumo yote ya gari yako tofauti na OBD2 ambayo kwa mashine nyingi huwa inacover tu faults za engine japo ilitakiwa kucover power train yote(Yaani Engine na Automatic gearbox)...
Mkuu hiyo Diagnosis machine yako inaonekana iko poa sana.
 
Back
Top Bottom