Tunafanyiwa ulozi sana kwenye mahusiano

Mchawi wako nyege zako mwenyewe. Sasa endelea kuhalalisha uasherati wako kwa mke wa mtu kwa kisingizio cha kuhisi umerogwa, uishie kurogwa kweli uwe kama chizi ukaombe papa mbele ya mumewe ambae nae kesharogwa uishie kufumuliwa rinda.
Haa haa haa[emoji23]
 
Endelea kutupa update CIA wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kuna mshkaji wangu siku anatoka kzini mke wake akampigia simu apitie booking ofisi za mabasi..ampokelee mzigo wake.

jamaa akapokea kimfuko cha rambo.
akili ikamtuma afungue aone..hehehe alijutaa.

karatasi zimefungwa madawa na maelekezo yote..alichoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…