Tunafanyiwa ulozi sana kwenye mahusiano

Hii ni kweli mkuu, ilishawahi kunitokea
 
Naomba connection ya hao wamama.
 
Mnayataka wenyewe kwa kuhangaika kwenu. Kutaka kugusagusa kila muonacho mnaishia kugusa visivyoguswa



Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Amina sana mama mtumishi.Tuombee sisi wadhambi ili tuache Upuuzi huo.
 
Mkuu usipate tabu kuwaza sababu. Siku ya tukio nilikuwa kitaa na shangazi yangu sasa anti kapanda halafu mnene kiasi chake pumbavu lile kuona vile likahisi mi mario. Si likaomba eti nilitafutie jimama nalenyewe lilelewe!!!
 
weeee sitaki Koo za kichawi mimi!tatizo ulozi wa wanaume ni pro max😂wao uchawi wao ni kukutoa kafara kama sio wewe watoto.. ndio utajua hujui
Labda kwa wale wanaotafuta utajiri
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe umerudi, nilikuwa nakusengenya najua haujarudi bwana!!
We ban kila siku unawafanya nini mods?
Mods wananizimia tu style zangu, kumbe nikiwa ban unaniponda eeh
 
Tatizo mkiachiwa tu upenyo mnakuwa na miguu minne, sasa inahitajika timing tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…