Tunafundisha Tuition, Tunapatikana DSM

Tunafundisha Tuition, Tunapatikana DSM

Joined
Aug 30, 2023
Posts
86
Reaction score
116
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu hasa open) mitaala yote yani Cambridge, Necta, International nk.

Tunatoa huduma ya twisheni Majumbani, hasa kwa wale watoto ambao ni wazito yaani (beginners) pamoja na waliochelewa kuzungumza yaani (late articulators) Tunawasaidia kwa ukaribu.

Gharama ni nafuu sana. Ofisi zipo Magomeni Mapipa ghorofa ya 2 opposite (Magomeni mapipa kituo cha mwendokasi.). Mawasiliano 0743567159 . huduma hii inapatikana mikoa yote ya Tanzania Bara pamoja na visiwani. Karibuni sana.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Uongozi wa shule ya sekondari mangio iliopo Kilimanjaro wilaya ya Mwanga,unapenda kutangaza nafasi za maombi ya kazi kwa masomo yafuatayo.

1.commerce na B/ keeping...nafasi 1
2.physics na B/ maths..nafasi 3
3.History na Geography..nafasi 2
4.English na kiswahili..nafasi 1
5.B/math na ICT..nafasi 2
6.Lit.in English na kisw/ English/History ...nafasi 2.

Tuma maombi yako kwa njia ya whatsApp namba
0656578865
0713136842
Au Email. mkogajumanne@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 07.10.2023. Saa 12.00 jioni.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Weka ofa yenu ya mshahara mkuu.
Huwezi andika barua hujui unapigania kiasi gani.
 
Uongozi wa shule ya sekondari mangio iliopo Kilimanjaro wilaya ya Mwanga,unapenda kutangaza nafasi za maombi ya kazi kwa masomo yafuatayo.

1.commerce na B/ keeping...nafasi 1
2.physics na B/ maths..nafasi 3
3.History na Geography..nafasi 2
4.English na kiswahili..nafasi 1
5.B/math na ICT..nafasi 2
6.Lit.in English na kisw/ English/History ...nafasi 2.

Tuma maombi yako kwa njia ya whatsApp namba
0656578865
0713136842
Au Email. mkogajumanne@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 07.10.2023. Saa 12.00 jioni.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Yaani mtu atume details zake kwa sources ambazo ni za mashaka namna hii? Hiyo shule haina mfumo mzuri wa kutangaza kazi?
 
Ndugu zangu habari za Majukumu, Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu kwamba wale mabingwa wa ufundishaji tunaendelea na huduma yetu kabambe ya ufundishaji Majumbani (home tuitions) Hasa kwa wale watoto ambao wamechelewa kuzungumza na wale ambao wanaonekana wazito darasani (slow leaners), Tunafundisha mitaala yote (Necta, Iba, Cambridge,nk) Tunamfata mtoto tukiwa na materials zote (Teaching aids, books, other learning materials). Tunawafundisha watoto wote kuanzia baby class mpaka wanafunzi wa vyuo Vikuu (open University). Tunafanya assignment kwa wale wanaosoma online, Tunatoa ushauri kwa wanaotaka kuanzisha shule za day care nk,Tunamfata mtoto nyumbani mda wa ziada kulingana na ratiba atakayotupa Mzazi,Masomo yote yanafundishwa. OFA KABAMBE:Tunafundisha lugha za kigeni kama kifaransa, kichina, kihisipania, kikolea, kingereza cha kuongea na kiswahili na kijerumani kwa bei NAFUU sana tukiweza kumfata mtu alipo. Kwa Wanaokuja vituoni kwetu ni Aureke secondary Makabe, Kimara stop over kwa upande wa jiji la dar es salaam. Tupo mikoa yote na kuelekea likizo ya mwezi wa kumi na mbili Kuna punguzo baab kubwa. Wasiliana na 0743567159.
 
Habari, Kwa Mzazi au mlezi anayehitaji huduma ya tuition nyumbani kwa level na mitaala yote, Masomo yote,karibuni sana, Wale pia wanaohitaji shule kwa ajili ya watoto wao, vyuo vya kozi fupi, ushauri juu ya kozi za kusomea karibu sana. Mawasiliano 0743567159.
 
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu hasa open) mitaala yote yani Cambridge, Necta, International nk.

Tunatoa huduma ya twisheni Majumbani, hasa kwa wale watoto ambao ni wazito yaani (beginners) pamoja na waliochelewa kuzungumza yaani (late articulators) Tunawasaidia kwa ukaribu.

Gharama ni nafuu sana. Ofisi zipo Magomeni Mapipa ghorofa ya 2 opposite (Magomeni mapipa kituo cha mwendokasi.). Mawasiliano 0743567159 . huduma hii inapatikana mikoa yote ya Tanzania Bara pamoja na visiwani. Karibuni sana.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
4d0cca361c034b3f86d4f3bc1cdf8016.jpg
 
Chonde chonde! Mjitahidi tu kufanya kazi yenu kwa uaminifu na mafanikio makubwa. Ni ushauri tu. Na wala sina nia ya kuwaharibia biashara yenu.

Kuna kijana mmoja alimaliza kidato cha sita katika shule moja maarufu na kongwe ya Serikali nchini.
Alikuwa ni kichwa kweli kweli!! (Na alipata divisheni 1 baada ya matokeo kutoka).

Wakati anasubiria matokeo yake, alipata shavu la kumfundisha mtoto wa kishua nyumbani kwao (mtoto wa kiume wa darasa la 5! Na mnawafahamu watoto wa kishua kwa namna walivyo, kutokana na vyakula wanavyokula). Baada ya kupata nafasi ya kumfundisha tuition nyumbani kwao, aliamua kujiongeza kwa kumfanyia kitu mbaya yule mtoto. Tena siyo mara moja!!

Baada ya kugundulika na kesi kufikishwa mahakamani, kijana akakutwa na hatia na kuhukumiwa faster miaka 30 jela. Ni mwaka wa 5 umepita tangu alipohukumiwa. Hivyo tahadhari ni muhimu. Hiyo kazi yenu ina majaribu mengi. Hivyo mjitahidi kuyashinda.
 
Chonde chonde! Mjitahidi tu kufanya kazi yenu kwa uaminifu na mafanikio makubwa. Ni ushauri tu. Na wala sina nia ya kuwaharibia biashara yenu.

Kuna kijana mmoja alimaliza kidato cha sita katika shule moja maarufu na kongwe ya Serikali nchini.
Alikuwa ni kichwa kweli kweli!! (Na alipata divisheni 1 baada ya matokeo kutoka).

Wakati anasubiria matokeo yake, alipata shavu la kumfundisha mtoto wa kishua nyumbani kwao (mtoto wa kiume wa darasa la 5! Na mnawafahamu watoto wa kishua kwa namna walivyo, kutokana na vyakula wanavyokula). Baada ya kupata nafasi ya kumfundisha tuition nyumbani kwao, aliamua kujiongeza kwa kumfanyia kitu mbaya yule mtoto. Tena siyo mara moja!!

Baada ya kugundulika na kesi kufikishwa mahakamani, kijana akakutwa na hatia na kuhukumiwa faster miaka 30 jela. Ni mwaka wa 5 umepita tangu alipohukumiwa. Hivyo tahadhari ni muhimu. Hiyo kazi yenu ina majaribu mengi. Hivyo mjitahidi kuyashinda.
Well said. Thanks
 
Hi everyone, I'm happy to announce a new online course pilot which you are all welcome to take part in You are invited to take part in. The course is called "Effective Writing in Ecology and Environmental Science".
The course is designed for researchers in LMICs working in fields related to ecology and environmental science. It is particularly suitable for early career researchers, or those with limited experience in publishing papers in reputable peer-reviewed journals. There is no cost to participate in this course.
The course will be offered in self-study format from 20 November to 17 December 2023. It is an entirely asynchronous course: you can study in your own time. If you meet the completion criteria, you will receive a certificate of completion.
For full information about the course, including the topics covered and the completion criteria, please visit the course homepage: learn@inasp: Log in to the site
Action required
If you would like to join the course, please follow the instructions in the ‘How to Enrol’ section on the course homepage. You will need to put in an enrolment key. Enter this key: authoraid2023
Make sure there are no spaces or any other characters when you put in the enrolment key. Do not share the enrolment key with anyone else. The deadline to enrol in the course is 20 November.
 
Chonde chonde! Mjitahidi tu kufanya kazi yenu kwa uaminifu na mafanikio makubwa. Ni ushauri tu. Na wala sina nia ya kuwaharibia biashara yenu.

Kuna kijana mmoja alimaliza kidato cha sita katika shule moja maarufu na kongwe ya Serikali nchini.
Alikuwa ni kichwa kweli kweli!! (Na alipata divisheni 1 baada ya matokeo kutoka).

Wakati anasubiria matokeo yake, alipata shavu la kumfundisha mtoto wa kishua nyumbani kwao (mtoto wa kiume wa darasa la 5! Na mnawafahamu watoto wa kishua kwa namna walivyo, kutokana na vyakula wanavyokula). Baada ya kupata nafasi ya kumfundisha tuition nyumbani kwao, aliamua kujiongeza kwa kumfanyia kitu mbaya yule mtoto. Tena siyo mara moja!!

Baada ya kugundulika na kesi kufikishwa mahakamani, kijana akakutwa na hatia na kuhukumiwa faster miaka 30 jela. Ni mwaka wa 5 umepita tangu alipohukumiwa. Hivyo tahadhari ni muhimu. Hiyo kazi yenu ina majaribu mengi. Hivyo mjitahidi kuyashinda.
Angekuwa amemuharibu wa kike ningekubaliana na wewe kuhusu majaribu.Kwa wa kiume siyo majaribu ,huyo kijana mpumbavu sana na kidato Cha Sita hakuelimika.Mwache akae anapostahili.
 
Tunatoa huduma ya kufundisha wanafunzi tuition,pre_form one ,tuition kwa grade one _ grade seven pia tunafundisha wanafunzi wa secondary form one _hadi form six.
N.b tunawafuata watoto mpaka nyumbani.
Welcome all.
Contact. 0743567159
Bei zetu ni ndogo na nafuu .
Tunapatikana mbezi_malamba dar es salaam.
 
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu hasa open) mitaala yote yani Cambridge, Necta, International nk.

Tunatoa huduma ya twisheni Majumbani, hasa kwa wale watoto ambao ni wazito yaani (beginners) pamoja na waliochelewa kuzungumza yaani (late articulators) Tunawasaidia kwa ukaribu.

Gharama ni nafuu sana. Ofisi zipo Magomeni Mapipa ghorofa ya 2 opposite (Magomeni mapipa kituo cha mwendokasi.). Mawasiliano 0743567159 . huduma hii inapatikana mikoa yote ya Tanzania Bara pamoja na visiwani. Karibuni sana.
 
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu hasa open) mitaala yote yani Cambridge, Necta, International nk.

Tunatoa huduma ya twisheni Majumbani, hasa kwa wale watoto ambao ni wazito yaani (beginners) pamoja na waliochelewa kuzungumza yaani (late articulators) Tunawasaidia kwa ukaribu.

Gharama ni nafuu sana. Ofisi zipo Magomeni Mapipa ghorofa ya 2 opposite (Magomeni mapipa kituo cha mwendokasi.). Mawasiliano 0743567159 . huduma hii inapatikana mikoa yote ya Tanzania Bara pamoja na visiwani. Karibuni sana.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Bei ni siri hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom