Mm sijakuelewa nidadavulie kwanza hivi tukiwanyima hiyo Mbuga ya Selous , hao wanyama watatuingizia Dola bilioni 320 kwa mwaka au tukiwanyima kuchimba na sisi tukachimba wenyewe tutapata dola hizo bilioni 320 kwa mwaka hebu funguka
Hilo gazeti la IPP ndo gazeti gani?