Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Haya ni maneno ya Mheshimiwa Ruto katika Kampeni zake na Charity Ngilu huko Ukambani kwa mujibu wa K24 Tv leo.
Je, unadhani kuwa inaashiria lolote kwa mustakabari wa siasa zinazoendelea Kenya?
Ikizingatiwa kuwa rafiki yetu mmoja humu jamvini inaelekea ndiye yaani Kabaridi.
Ab-Tichaz, Mwita Maranya, livefire, Mfianchi na wengine ni nini maoni yenu?
Je, unadhani kuwa inaashiria lolote kwa mustakabari wa siasa zinazoendelea Kenya?
Ikizingatiwa kuwa rafiki yetu mmoja humu jamvini inaelekea ndiye yaani Kabaridi.
Ab-Tichaz, Mwita Maranya, livefire, Mfianchi na wengine ni nini maoni yenu?