Tunahitaji aina ya refa kama yule aliyechezesha mechi ya Zambia na Congo, Januari 17, 2024

Tunahitaji aina ya refa kama yule aliyechezesha mechi ya Zambia na Congo, Januari 17, 2024

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Jana nimefurahishwa na huyu refa, kama kuna matokeo niliyapenda ni ya jana watu waligawana point kihalali. Kikubwa zaidi kumpongeza huyu bwana na wachezaji kumhadaa refa awape penalty.

OK kibinadamu akataka kuhadaika wachezaji pinzani wakamfwata wakamkomalia tunaomba VAR, refa kapeleka mpira kwenye penalty box, kaenda var kajiridhisha karudi no penalty piga mpira pambana na hali zenu.

Nilichokiona kama taifa tutakaa kimya kuna nchi wakipiga kelele za VAR haraka wanasiikilizwa.

Ndugu zangu Watanzania jana walilia VAR ile red ya Nova kwa hili refa hakututendea haki, nahisi aliogopa kuonekana fala akasahau kuna mwenzie wa mechi ya Zambia kaukubali ufala kajirekebisha mpira ukaendelea.

Sijui nguvu gani ila wachezaji nao wanatakiwa kuonyesha userious kukomaaa tunataka VAR, jana captain wetu angeshirikiana na wenzie kumkomalia refa basi angeenda VAR bila shida.

Anyway yamepita tumshukuru Allah kwa kila jambo tuombe tuwe na wasikivu kama huyu refa..
 
Kutokwenda haimaanishi hajapata maoni kutoka kwenye jopo la wataalam wa VAR. Kumbuka wanawasiliana na hadi kuamua vile ni dhahiri walikuwa wanawasiliana.
 
Jana nimefurahishwa na huyu refa, kama kuna matokeo niliyapenda ni ya jana watu waligawana point kihalali. Kikubwa zaidi kumpongeza huyu bwana na wachezaji kumhadaa refa awape penalty.

OK kibinadamu akataka kuhadaika wachezaji pinzani wakamfwata wakamkomalia tunaomba VAR, refa kapeleka mpira kwenye penalty box, kaenda var kajiridhisha karudi no penalty piga mpira pambana na hali zenu.

Nilichokiona kama taifa tutakaa kimya kuna nchi wakipiga kelele za VAR haraka wanasiikilizwa.

Ndugu zangu Watanzania jana walilia VAR ile red ya Nova kwa hili refa hakututendea haki, nahisi aliogopa kuonekana fala akasahau kuna mwenzie wa mechi ya Zambia kaukubali ufala kajirekebisha mpira ukaendelea.

Sijui nguvu gani ila wachezaji nao wanatakiwa kuonyesha userious kukomaaa tunataka VAR, jana captain wetu angeshirikiana na wenzie kumkomalia refa basi angeenda VAR bila shida.

Anyway yamepita tumshukuru Allah kwa kila jambo tuombe tuwe na wasikivu kama huyu refa..
Yule dogo anatumia manguvu mengi kuliko akili.

Mechi ya Dar alichomesha , Jana alivyopata yellow anaendelea kufanya faulo kadhaa kocha Alitakiwa kumtoa lakini akawa usingizini akaliwa.
Kocha gani hajasoma saikolojia Hata ya Baadhi ya wachezaji wake Kama sio wote.

Siwezi kumlaumu refa Hata kidogo .
 
Una yellow moja unaanzaje kufanya tackling tena eneo la mpinzani. Nova kazingua sana.
 
Kutokwenda haimaanishi hajapata maoni kutoka kwenye jopo la wataalam wa VAR. Kumbuka wanawasiliana na hadi kuamua vile ni dhahiri walikuwa wanawasiliana.
Kiufupi tu VAR haiwezi badili maamuzi ya kadi ya njano,ingekuwa ni kadi nyekundu ya moja kwa moja sawa,hivyo wa kulaumiwa ni refa maana hakuona tukio vema na akalifanyia maamuzi ya haraka kwa hisia .....twendeni tukamtukane
 
Kiufupi tu VAR haiwezi badili maamuzi ya kadi ya njano,ingekuwa ni kadi nyekundu ya moja kwa moja sawa,hivyo wa kulaumiwa ni refa maana hakuona tukio vema na akalifanyia maamuzi ya haraka kwa hisia .....twendeni tukamtukane
Hata tukimtukana haisaidii kitu, tulizidiwa kila kitu.
 
Kiufupi tu VAR haiwezi badili maamuzi ya kadi ya njano,ingekuwa ni kadi nyekundu ya moja kwa moja sawa,hivyo wa kulaumiwa ni refa maana hakuona tukio vema na akalifanyia maamuzi ya haraka kwa hisia .....twendeni tukamtukane
Matusi ndio yatabadili matokeo?
 
Kabla hamjamlaumu refa. Mnapaswa mkasome kwanza VAR inatumika kwenye matukio gani ?

Sio kila tukio refa anaruhusiwa kutazama VAR
 
Yule dogo anatumia manguvu mengi kuliko akili.

Mechi ya Dar alichomesha , Jana alivyopata yellow anaendelea kufanya faulo kadhaa kocha Alitakiwa kumtoa lakini akawa usingizini akaliwa.
Kocha gani hajasoma saikolojia Hata ya Baadhi ya wachezaji wake Kama sio wote.

Siwezi kumlaumu refa Hata kidogo .
Kwelikakaaa tunamsema refa ila nova akajifikirie upya

2..angalia red ya 21nov imetokana na yellow 2
3red ya jana 2 yellow

Mns akifanya kosa moja hajui anatakiwa kujilindaje au afanye nn asipate ya pili

Kocha kazikwake kwentehili na mchezaji wake
 
marko anasema keshen mwombe msije mkaingia majaribuni nova amrudie Mungu haiwezekana.majaribu yote yeye na moroco
 
Back
Top Bottom