Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Habari wakuu,
Tukiwa na uzoefu wa kuzalisha bidhaa mbali mbali na mafunzo kwa wajasiriamali, Mpango wetu kabla ya January ni kuipandisha sabuni moja medicated isajiliwe TMDA na kuingia masoko makubwa kama super market.
Hivyo tunahitaji mtu mwenye uelewa wa nini kinahitajika TMDA kukamilisha usajili. Ni kazi ya mkataba kwa shughuli kama hizi za usajili tu.
Piga 0713-039875
Tukiwa na uzoefu wa kuzalisha bidhaa mbali mbali na mafunzo kwa wajasiriamali, Mpango wetu kabla ya January ni kuipandisha sabuni moja medicated isajiliwe TMDA na kuingia masoko makubwa kama super market.
Hivyo tunahitaji mtu mwenye uelewa wa nini kinahitajika TMDA kukamilisha usajili. Ni kazi ya mkataba kwa shughuli kama hizi za usajili tu.
Piga 0713-039875