kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Watanzania tumeanza kutembea kifua mbele kwamba mziki wetu umekua hadi tunaanza kujiona tunaenda levo za wanigeria wakati si kweli.
Kwa mtazamo wangu naona bado sana, coz hadi sasa hivi msanii ambaye anatupa kiburi cha kubishana na nchi nyingine e.g majirani zetu Kenya ni Diamond tu, huyo ndio tunaweza kumuita msanii wa kimataifa, huku wengine wakibakia kuwa local tu ingawa tuna wasanii wengi wazuri, hivyo hatupaswi kujisifia kwamba mziki wetu umekua, ila tunapaswa kumsifia personally Diamond amekua.
Ukiangalia upande wa Nigeria, wakisema kwamba mziki wao umekua ni chizi tu ndie anaweza kubisha, hawategemei big name moja tu kuwatangaza, wana lundo la mastaa waliotoka kimataifa i.e P2, 2Face, Dbanj, Jmartin,Davido,Wizkid,Iyanya,Flavour,Tiwa Savage, Yemi Alade, etc.
So ili nasisi tujiite tumekua kimuziki inabid ifikie wakati tuwe na list ya big names atleast watano, ila kwa style hii ya kuanzishiana team sidhan kama tutafika.
Kwa mtazamo wangu naona bado sana, coz hadi sasa hivi msanii ambaye anatupa kiburi cha kubishana na nchi nyingine e.g majirani zetu Kenya ni Diamond tu, huyo ndio tunaweza kumuita msanii wa kimataifa, huku wengine wakibakia kuwa local tu ingawa tuna wasanii wengi wazuri, hivyo hatupaswi kujisifia kwamba mziki wetu umekua, ila tunapaswa kumsifia personally Diamond amekua.
Ukiangalia upande wa Nigeria, wakisema kwamba mziki wao umekua ni chizi tu ndie anaweza kubisha, hawategemei big name moja tu kuwatangaza, wana lundo la mastaa waliotoka kimataifa i.e P2, 2Face, Dbanj, Jmartin,Davido,Wizkid,Iyanya,Flavour,Tiwa Savage, Yemi Alade, etc.
So ili nasisi tujiite tumekua kimuziki inabid ifikie wakati tuwe na list ya big names atleast watano, ila kwa style hii ya kuanzishiana team sidhan kama tutafika.