Tunahitaji katiba iliyo juu ya watawala

Tunahitaji katiba iliyo juu ya watawala

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Makamu wa Rais wa Malawi Bw. Chilima amekamatwa na kushtakiwa kwa kupokea rushwa ya takribani USD 200,000/- kutoka kampuni ya ujenzi ili kupata tenda katika miradi ya serikali.

Kwa Tanzania hii haiwezi kutokea kwa katiba tuliyonayo kwani watawala wako juu ya katiba.

Tunahitaji katiba mpya itakayosimamia rasilimali za nchi na kudhibiti viongozi mafisadi bila kujali vyeo vyao!
 
Makamu wa Rais wa Malawi Bw. Chilima amekamatwa na kushtakiwa kwa kupokea rushwa ya takribani USD 200,000/- kutoka kampuni ya ujenzi ili kupata tenda katika miradi ya serikali.

Kwa Tanzania hii haiwezi kutokea kwa katiba tuliyonayo kwani watawala wako juu ya katiba.

Tunahitaji katiba mpya itakayosimamia rasilimali za nchi na kudhibiti viongozi mafisadi bila kujali vyeo vyao!
Sahihi
 
Na Tanzania Viongozi wanakula sana Rushwa, sasa kama Kampuni moja tu inampa Kiongozi $ 200,000 utakuta Wizara moja kwa mwaka inaingia Mikataba na Makampuni 3 mpaka 5.
 
Hivi Majaliwa alienda Korea kufanya nini?
 
Hivi Majaliwa alienda Korea kufanya nini?
Nafikiri kama ni suala la kuangalia na kuhakiki maendeleo na ubora wa mabehewa na engine za treni, tungetuma wahandisi. Sawa, watakuambia oh, aliandamana na wahandisi. Lakini kwanini waziri mkuu aende?
 
Nafikiri kama ni suala la kuangalia na kuhakiki maendeleo na ubora wa mabehewa na engine za treni, tungetuma wahandisi. Sawa, watakuambia oh, aliandamana na wahandisi. Lakini kwanini waziri mkuu aende?
Kuna harufu ya ufisadi katika safari hiyo!
Anajua aki-temper na posho a.k.a rushwa za wajumbe kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM hatoboi!
 
Back
Top Bottom