Tunasubiri nini wamanga hao hapo wamekuja juzi tu leo hii wanafungua Nuclear plant na itawapatia umeme wa kuchezea nasikia wameanza kuwasha mataa mpaka kwenye mitende, sisi tutwasha mpaka kwenye minazi.
Serikali ya Samia livalie njuga hili ili tuondokane na mambo ya kusubiria mvua ili mabwawa yajae, yaani nilipoona kwenye CNN jamaa wakifungua mitambo na kuongeza megawati 1400 kwenye gridi ya Taifa, nikajiuliza mbona Tz Uranium tunaichezea gololi, inakuwaje hawa washiiri hawana hata machimbo leo hii wanafungua unit after unit.
Hapa utasikia umeme unakatika kwa sababu maji yamepungua, hivi umeme una kiuno? Tunabambikiwa misamiati ya ajabu ajabu tu.
Samia funga kazi ili kabla ya 2025 tuone kinu cha umeme kinachotumia Nuclear Power Plant, mambo ya kutegemea umeme wa mvua yanazidi kutoweka.
Serikali ya Samia livalie njuga hili ili tuondokane na mambo ya kusubiria mvua ili mabwawa yajae, yaani nilipoona kwenye CNN jamaa wakifungua mitambo na kuongeza megawati 1400 kwenye gridi ya Taifa, nikajiuliza mbona Tz Uranium tunaichezea gololi, inakuwaje hawa washiiri hawana hata machimbo leo hii wanafungua unit after unit.
Hapa utasikia umeme unakatika kwa sababu maji yamepungua, hivi umeme una kiuno? Tunabambikiwa misamiati ya ajabu ajabu tu.
Samia funga kazi ili kabla ya 2025 tuone kinu cha umeme kinachotumia Nuclear Power Plant, mambo ya kutegemea umeme wa mvua yanazidi kutoweka.