Alan Shearer hakuwahi kucheza vilabu vikubwa England kwa maana ya Man U,Liverpool na Arsenal lakini timu ya Taifa alikuwa kinara...Wachezaji wetu wa sasa hawana uwezo ..Shaban Nonda alikuwa anakaa benchi kwa Mmachinga na Idd Moshi..hizi academy zinauwa mpira..nidhamu kama shule wale watoto “watukutu “wenye vipaji vikubwa wanaishia njiani..wenye bidii ndio wanakuja kucheza VPL..Mpira kipaji binafsi kinabeba kuliko team work