Habarini wakuu
Kama wiki zimepita mimi na mwenzangu tumeanzisha biashashara ya kusambaza nafaka sasa tumepata tenda la kusambaza kama tani 5 hivi na mtaji wetu ni mdogo hautoshi hivyo tunatafuta mtu atakayetuzamini kutupatia pesa ili tugawane faida pesa ambayo atatuazima tutaizungusha kwa miezi miwili kila mwezi atapewa 450,000 hivyo miezi miwili ni 900,000, na mtaji tunaohitaji ni milioni 6, njoo pm ili tuzungumze, na kuonana
Note: tutazungusha miezi miwili kwa mwezi tutashusha mzigo mara 3 hivyo kila tukishusha mzigo tukilipwa tutakupa 150k na miezi miwili ikifika tutakurudishia pesa yako kamili