Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Let us be serious kwenye teuzi zetu, hivi Dr. Ishengoma ni wapi amewahi kushiriki sanaa au kuigiza au kusimamia filim production? Nimetoa mfano huu baada yakuangalia viongozi wanaosimamia sanaa na filamu nchini nikaona most of them are civil servant and academician.
Tunapotaka kukuza hizi sekta tujaribu kurejesha madaraka kwa wamiliki wa sekta husika. Kuteua watu kutoa kwenye sekta nyingine nakuwaleta kwenye maeneo ya ubunifu matokeo yake ndiyo haya ya mtu kutumia mamilioni ya fedha kuzalisha filim au mziki ukitoka hewani ukapigiwa kelele kirogo tu unafungiwa.
Sanaa inakufa kwakuwa wenye sanaaa hawaongozi sanaa. Tuwape wenye vipaji kazi watengeneze ajira tupunguze tatizo la ajira nchini.
Tunapotaka kukuza hizi sekta tujaribu kurejesha madaraka kwa wamiliki wa sekta husika. Kuteua watu kutoa kwenye sekta nyingine nakuwaleta kwenye maeneo ya ubunifu matokeo yake ndiyo haya ya mtu kutumia mamilioni ya fedha kuzalisha filim au mziki ukitoka hewani ukapigiwa kelele kirogo tu unafungiwa.
Sanaa inakufa kwakuwa wenye sanaaa hawaongozi sanaa. Tuwape wenye vipaji kazi watengeneze ajira tupunguze tatizo la ajira nchini.