Ukikaa na kijana wa kiyahudi (Israeli) anachowaza ni kuvumbua, mtoto analelewa tangu mtoto kuwa yeye anaakili sana na anapaswa kuzitumia kuvumbua.
Tuje kwetu kijana anahitimu degree hajaenda field na hajui atafanya kazi gani baada ya kuhitimu na hata ukimwajiri tofauti yake na form four ni ngumu kuitenganisha.
Leo hii charger ya simu ikigaribika unatupa hakuna fundi, mafundi ujenzi wetu bado wanatumia kabilo ya kamba, wakati wenzetu wanatumia infra red beams, 80% ya wahitimu wetu ni walimu wa Geography na history. Na historia yetu ni ileile ya kinjeketile.
Mie ningependekeza yafuatayo, katika fedha za mikopo ya elimu ya juu tutenge 100bn kila mwaka kusomesha engineer's katika nchi za kimkakati kama Japan Germany China USA Canada. Na katika taaluma za kimkakati.
Prof Muhongo alipeleka vijana kusoma mafuta na gas wala sijui walifikia wapi nasukia wengine walivyorudi waliambia baba yenu alishaondoka wizarani.
Pia tunao best students katika shule za primary secondary hawa napendekeza wapewe 100% government sponsorship hizi ndio cream za kuendesha nchi yetu badae.
Lakini pia tunao best graduates katika vyuo vyetu napendekeza wapewe ajira moja kwa moja serikalini na kwenye mashirika ya kimkakati, mfano kijana atakaepata GPA ya 4.5 and above aajiriwe direct.
Tuondoe utaratibu wa best student kubaki TA badala yake wakurugenzi wenye umri wa miaka 50 and above na wana vigezo vya kuwa wahadhiri wahamishiwe kwenye vyuo na wafundishe hadi watakapokuwa na umri wa miaka 70 badala ya kustaafu wakiwa na umri wa miaka 60.
Tuje kwetu kijana anahitimu degree hajaenda field na hajui atafanya kazi gani baada ya kuhitimu na hata ukimwajiri tofauti yake na form four ni ngumu kuitenganisha.
Leo hii charger ya simu ikigaribika unatupa hakuna fundi, mafundi ujenzi wetu bado wanatumia kabilo ya kamba, wakati wenzetu wanatumia infra red beams, 80% ya wahitimu wetu ni walimu wa Geography na history. Na historia yetu ni ileile ya kinjeketile.
Mie ningependekeza yafuatayo, katika fedha za mikopo ya elimu ya juu tutenge 100bn kila mwaka kusomesha engineer's katika nchi za kimkakati kama Japan Germany China USA Canada. Na katika taaluma za kimkakati.
Prof Muhongo alipeleka vijana kusoma mafuta na gas wala sijui walifikia wapi nasukia wengine walivyorudi waliambia baba yenu alishaondoka wizarani.
Pia tunao best students katika shule za primary secondary hawa napendekeza wapewe 100% government sponsorship hizi ndio cream za kuendesha nchi yetu badae.
Lakini pia tunao best graduates katika vyuo vyetu napendekeza wapewe ajira moja kwa moja serikalini na kwenye mashirika ya kimkakati, mfano kijana atakaepata GPA ya 4.5 and above aajiriwe direct.
Tuondoe utaratibu wa best student kubaki TA badala yake wakurugenzi wenye umri wa miaka 50 and above na wana vigezo vya kuwa wahadhiri wahamishiwe kwenye vyuo na wafundishe hadi watakapokuwa na umri wa miaka 70 badala ya kustaafu wakiwa na umri wa miaka 60.