wapi? ulikosomea masters Rukwa? walikueleza reference za net hazifai?? inaonekana bado haukumuelewa mwalimu wako mkuu........muulize tena!!! wengine tunafundisha vyuo vikuu humu!
Rukwa? Nina MBA kaangalie chuo cha 4 africa kwa ubora kwa MBA na cha kwanza Tanzania ndiko nilikosomea mimi....
Mkuu umesahau mosad!na shirika laupelelezi la Iran (IIA)Naomba nitoe angalizo.
Naona watu wanatolea mifano kwa kuitaja sana CIA. Kwa taharifa yenu Intelligence agency ambayo ni high efficiency na kiwango zaidi Duniani ni ile ya Pakistan, ISI.
Una uhakika?? ISI wangejua long before CIA osama alipokua.., na what about suicide bombers in karachi..,
ISI wangejua operation ya kumuua osama kabla hata ya tukio lenyewe through intel comm interceptions...,
Be careful na sources za data zako..,
Nafikiri wewe mwenyewe una jibu mh, kwamba siasa zetu uchwara zimeingia mpaka sehemu nyeti, badala ya kulinda nchi na raia wao wanalinda kikundi cha watu na chama fulani. Hao hata wauze nchi hutasikia taarifa za kiintelijensia lkn wewe iba kuku utawasikia wamepata taarifa za kiintelijensia! Hapa Tz hakuna chombo cha usalama kisichotumiwa vibaya kwa maslahi ya mwanasiasa fulani. Si unakumbuka kina gen Shimbo? Akina Hosea, DCIA Manumba? tunahitaji kuwa na utawala wa sheria.
kuna kitengo cha wachapakazi hasa kiko jeshini.., kitengo cha ujasusi ambacho hadi sasa kiko free from politics ni CMI (central military intelligence)..., lakini upande wa foreign assets ndo wazuri sana wako bize kukusanya taarifa hatarishi dhidi ya nchi yenu hiyo...,
Hawa wamegawanyika..., kuna wanaofanya kazi kufatilia mienendo na tabia za maofisa na askari ndani ya vikosi hata nje,
kuna wakusanya habari za ndani ya nchi zenye maslahi na jeshi, mfano kuna watu kazi yao ni kusoma magazeti daily, magazeti ya ndani na hata ya majirani au kuangalia tv, au kushinda kwenye mitandao kama humu, pia kuna ambao kazi yao ni kunasa mawasiliano ya jirani zenu...,
na kuna foreign assets.., wanaishi na kukaa nje...., kuna wanaotumwa for a specific mission na kuna wanaokaa tu huko kukusanya taarifa yoyote ambayo ina maslahi na usalama wa nchi.., na wapo ambao ni infiltrated kwny majeshi jirani na serikali za jirani
hawa ndo wamebaki kuwa pillar ya nchi from outside threats
Ila ile cream ilokua trained russia, israel, cuba ndo inastaafu..., wamebaki wale mnaowafundisha pale mikumi
Naomba nitoe angalizo.
Naona watu wanatolea mifano kwa kuitaja sana CIA. Kwa taharifa yenu Intelligence agency ambayo ni high efficiency na kiwango zaidi Duniani ni ile ya Pakistan, ISI.
Hakika hakumwelewa. Hata mimi ukiniletea references za google.com au wikipedia.com,nitakutimulia mbali.
kama umesoma cha 1 tanzania,u mean UDSM,utakuwa unawasingizia,KUNA WALIMU NA WAHTIMU WA UDSM HUMU,USIZUE MAMBO
hapo kwanza tujue kuwa mtanzania yeyote yule mwenye akili timamo ni usalama wataifa.nasema hv kwa sabbu vko vtendo vingi vinafanyika vya kuihujumu nchi na vinasabbsha nchi iingie kwenye hasara kubwa sana. Vitendo hv kama wananchi wangejua haki yao ya kutoa taarfa nchi yetu ingekua mbali sana.