Tunahitaji mfumo mpya wa kijasusi?


...duu we jamaa nomaaa dah..!!??
 
Wakuu hebu tutafute kwanza mstakaabali wetu kwanza!; tujue uozo uko wapi na tuuondoe kwa any price! Vichwa vya uhakika vimo humu, hata hao isi, mosad, kgb, cia, m16...Walianza kama mchicha! Hatujachelewa....
 
Wakuu hebu tutafute kwanza mstakaabali wetu kwanza!; tujue uozo uko wapi na tuuondoe kwa any price! Vichwa vya uhakika vimo humu, hata hao isi, mosad, kgb, cia, m16...Walianza kama mchicha! Hatujachelewa....

sawa kabisa
 
Intelligence yetu haina plan zozote za kuzia watu wao wasiwe addicted na targets zao.Na ukizingati waafrica hswa watz wanavyopenda addiction.Utakuta usalama kawa addicted na CCM, dini yake,wanawake ,pombe,sifa za kijinga za kutumia hofu na access kutafutia sifa bar,na kutesa watu km vile kawa mlizi wa familia,marafiki na mahawara zake.
 
Huwezi kuimarisha ulinzi wakati watu wanaingia nchini kiholela ati kwa sababu tu ni member wa EAC. Subirini matokeo yanakuja very soon.

Hii nimeipenda. Tena wachukue mfano wa yule mwanajeshi aliekimbia jeshini wakati wa oparesheni flan
 

Ni kweli mkuu mfumo wetu ni dhaifu na unaendelea kuprove failure
 
Mbona wamerakani walienda kumchukua Osama Bin Laden na kumuua bila ya wao kujua??? Je CIA taarifa walizipata wapi? Hebu jifunze kuunganisha dots bana!

September 11th unaiongeleaje, cia nsa fbi mbn hawakuizuia, na kwavipi unaamini kuwa isi hawakuiuzia taarifa cia, na kwa kuogopa machafuko ya al qaida nchini mwao wakaamua kukana kujua taarifa hizo, ama hujui kama huwa kuna vitu kama hivyo, simply fikiria, umetoka na hela zako benki, watu wanakufata wanazichukua kwa mtutu, how did they know you have enough money
 
Mkuu hakuna mpepelezi anayeongoza kama akina Jack Baur na kina Wily Gamba, Joram Kiango n.k.
Ila kunakuwa na Unit flan ndani ya agencyambayo ndio inakuwa inategemewa sana lakini sio mtu individual.

Mkuu hujawai ona umemtongoza demu akakutolea nje af mpingauonevu akafanikiwa, mtu akatumwa taarifa zako zikamchukua mwaka mzima na mwingine akazipata baada ya mwezi, hujaona tofauti ya watu hapo
 

Is all about creating fear
 
Naomba nitoe angalizo.
Naona watu wanatolea mifano kwa kuitaja sana CIA. Kwa taharifa yenu Intelligence agency ambayo ni high efficiency na kiwango zaidi Duniani ni ile ya Pakistan, ISI.
Wewe nawe umeshadidia tu Pakistani, changia vitu vinavyoeleweka, Pakistani wala ngada kila siku wanalipuliwa na taliban ya mullar omar, wa tz kibao wanaingia na kutoka wakiwa wamebebelea magunia ya madawa ya kulevya, sasa hiyo nchi unawezaje kuwalinganisha na CIA,
 
Bro mimi nimebezi kwenye research zilizofanywa na wenye taaluma zao. sijabezi kwenye movies.
 
Hiyo namba 6 na namba 7 aaah namba hizo zinachezewa sana wanatuyumbisha nina wasiswasi na uzalendo wa namba 6 na 7
 
Hiyo namba 6 na namba 7 aaah namba hizo zinachezewa sana wanatuyumbisha nina wasiswasi na uzalendo wa namba 6 na 7
 
Hizo namba 6 na namba 7 aaah namba hizo zinachezewa sana wanatuyumbisha sana nina wasiswasi na uzalendo wa namba 6 na 7
 
Hizo namba 6 na namba 7 aaah namba hizo zinachezewa sana wanatuyumbisha sana nina wasiswasi na uzalendo wa namba 6 na 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…