Tunahitaji mtaalam wa kufundisha masomo ya ujasiriamali

Tunahitaji mtaalam wa kufundisha masomo ya ujasiriamali

SOSTENESS

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Kwenu JF members. Tunahitaji mtaalam mwenye uwezo wa kufundisha namna ya kutengeneza sabuni ngumu, sabuni ya maji, sabuni ya Unga, na mengineyo kwa manufaa ya watu wanaotaka kuanza kujiajiri ila utakacho fundisha kiwe kwenye viwango vinavyo kubalika. Kama ni mtaalam ni inbox kwenye email hrd@aidfortradelogistics.org. eleza kile unachoweza kufundisha zingatia kwamba utakao wafundisha ni kuanzia darasa la saba.
 
Back
Top Bottom