Ndugu wanabodi salaam,
Kama tujuavyo kwa sasa tuko katika Msimu wa Siasa za Uchaguzi, lakini nimekuwa nafuatilia sana baadhi ya mikutano ya kampeni inayofanywa na wagombea mbali mbali waliotia nia kugombea hasa nafasi ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, naomba kuweka wazi mikutano mingi nilivyofuatilia ni ya hawa wagombea wa vyama vinavyoonekana kuwa na wafuasi wengi ndani na nje ya nchi.
Kilichonisukuma kuja kwenu ni tafakari niliyobaki nayo na ambayo imenipelekea kuwa na maswali, Je tunachohitaji Watanzania ni mgombea atakayekuwa na dhamira ya dhati ya kuondoa matatizo na changamoto tulizokuwa nazo katika jamii na nchi yetu kwa ujumla au tunahihitaji mgombea mwenye dhamira ya kutaka kupambana tu na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
Wasalaam
Kama tujuavyo kwa sasa tuko katika Msimu wa Siasa za Uchaguzi, lakini nimekuwa nafuatilia sana baadhi ya mikutano ya kampeni inayofanywa na wagombea mbali mbali waliotia nia kugombea hasa nafasi ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, naomba kuweka wazi mikutano mingi nilivyofuatilia ni ya hawa wagombea wa vyama vinavyoonekana kuwa na wafuasi wengi ndani na nje ya nchi.
Kilichonisukuma kuja kwenu ni tafakari niliyobaki nayo na ambayo imenipelekea kuwa na maswali, Je tunachohitaji Watanzania ni mgombea atakayekuwa na dhamira ya dhati ya kuondoa matatizo na changamoto tulizokuwa nazo katika jamii na nchi yetu kwa ujumla au tunahihitaji mgombea mwenye dhamira ya kutaka kupambana tu na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
Wasalaam