Tunahitaji Rais Mzalendo 2025 aupitie upya Mkataba wa DP world

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Uwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.

CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumeshakufa au tu wazee sana.

Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi. Hatuna imani na SAMIA.
 
30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huo
 
Mzee wa Msoga na Rostam hii ni kampuni yao
 
Tulimpata ila Ndo hivo tena Ya Mungu ni mengi ajamchukua kuja kumpata tena labda miaka 20 ijayo l.Waliopo sasa hawawezi kukubali aje mtu alie mzalendo maana wakikumbuka Jpm alivo wapeleka puta wanajisonya.
 
Hili ni muhimu mno kwani kwa sasa Tz imekuwa shamba la bibi (pango la wanyang'anyi)
Kila mtu anawaza wizi! kukemeana ni shida kwani wote wanatambuana ni wezi!
Mikataba ya hovyo, upigaji wa fedha za miradi bila aibu wala woga!

Tunahitaji Raisi mzalendo 2025 aweze kututoa ktk janga hili.
 
30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huo
Tuhuma nzito hiyo mkuu!!!!! uthibitisho tafadhari.
 
Anayeaminika ni nani? Wewe mwenyewe unajiamini?
 
30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huo
Weka ushahidi.
 
Naunga mkono hoja

Huu mkataba n bado unaukakasi

Nimemuangalia Pader Kitima(PhD) alikuwa hana raha kabisa ni kama walilazimishwa kuhudhuria

Tuombe sana 2025 tupate Rais mzalendo atakaeanza na hili limkataba la bandari
 
TICTS walikuwepo hapa nchini miaka 22 mlishawahi kuomba kuutazama mkataba wao upo vipi ili mpate kujua Prof Tibaijuka anawapiga vipi pesa zenu za kodi?

Swissport wapo airport tangu miaka ya 90 katikati mpaka leo, mwenye kufaidika na biashara ile mzalendo mwenzetu mnamjua?.

Maskini hawezi kubadilika na kuwa tajiri kwa kuendekeza tabia ya kufukua taarifa zenye kuwahusu matajiri.
 
Samia nilikuwa namsupport mpaka sakata la DP world na kuachiliwa kwa wezi wengi JPM aliwatia ndani .
Mpaka leo sijaelewa kvp bandari fully biult ,furnished na miundo msingi yote eti kapewa mtu hivihivi kisa mwekezaji kwanza kuaribu wa nje bila kutozwa chochote.
India wanampa raia wao ,gautam adani anapewa tenda za ndani, China vilevile ,mabilionea wapo wengi wa logistics hapa nchini inakuwaje apewe mwarabu wa nje ,ilhali kina rostam , bakhresa, kina karisa pia wapo inatia huzuni sana.
Yaaani yule maza amenitoa imani kabisa , jiwe sikumpenda ila alizingatia kupromote wafanyibiashara wa ndani kwa priority labda ujenzi mkubwa ambao expirience hatuna .
Ila kuongoza bandari , security installation kubwa kama ile kuipeana tu ni ijinga mtupu , hilo ntapinga milele
 
Pole sana
 
Kama sio Samia Utakuwa wewe hapo 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…