The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huoUwekezano wa kuingizwa mjini na samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Raisi wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumedhakufa au. tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi Hatuna imani na SAMIA
Mzee wa Msoga na Rostam hii ni kampuni yaoUwekezano wa kuingizwa mjini na samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Raisi wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumedhakufa au. tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi Hatuna imani na SAMIA
Nakazia📌...Hatuna imani na SAMIA
Hili ni muhimu mno kwani kwa sasa Tz imekuwa shamba la bibi (pango la wanyang'anyi)Uwekezano wa kuingizwa mjini na samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Raisi wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumedhakufa au. tu wazee sana.
Tuhuma nzito hiyo mkuu!!!!! uthibitisho tafadhari.30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huo
Mkuu hili lipo wazi!Mzee wa Msoga na Rostam hii ni kampuni yao
Anayeaminika ni nani? Wewe mwenyewe unajiamini?Uwekezano wa kuingizwa mjini na samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Raisi wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumedhakufa au. tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi Hatuna imani na SAMIA
Weka ushahidi.30 YRS TO COME SAMIA HATAKUWEPO NA WOTE WALIOSAINI MAUAJI YA DP WORLD HAWATAKUWEPO ila vizazi vyao vitakuwa na share/HISA katika wizi kupitia mkataba huo
TICTS walikuwepo hapa nchini miaka 22 mlishawahi kuomba kuutazama mkataba wao upo vipi ili mpate kujua Prof Tibaijuka anawapiga vipi pesa zenu za kodi?Uwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumeshakufa au tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi. Hatuna imani na SAMIA.
Pole sanaUwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumeshakufa au tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi. Hatuna imani na SAMIA.
Kama sio Samia Utakuwa wewe hapo 😂😂Uwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe robo tatu ya tuliomo humu aidha tutakuwa tumeshakufa au tu wazee sana.
Hiyo miaka 30 ikiisha hakuna uhakika hawa DP wanaweza kuendelea au la mchakato mzima wa kuwapa DP uligubikwa na rushwa pamoja na utata mwingi. Hatuna imani na SAMIA.