OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Jun 26, 2023 #1 Hoja ya Muungano ni endelevu. Huu ni wakati sasa wa kutuonyesha hati ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hoja ya Muungano ni endelevu. Huu ni wakati sasa wa kutuonyesha hati ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Jun 26, 2023 #2 Muungano huu ni WA kisiasa
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Jun 26, 2023 #3 Kumekuchaaaa
mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,586 Reaction score 11,227 Jun 26, 2023 #4 Kuna mwaka tulikishafua humu kikwete akatoa hati licha ya kuwa ilikuwa na sahihi za ajabu vipi mnaitaka tena?
Kuna mwaka tulikishafua humu kikwete akatoa hati licha ya kuwa ilikuwa na sahihi za ajabu vipi mnaitaka tena?
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,134 Reaction score 14,593 Jun 26, 2023 #5 Na miye naitaka
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Aug 6, 2023 #6 Mwenye kujua amtag ndugu Pasca mayala hii picha maana yake nini Attachments 20230806_150338.jpg 32.9 KB · Views: 1