Uchaguzi 2020 Tunaingia kwenye Uchaguzi Mkuu tukiwa tunakumbuka tambo hizi

Kwenye mishahara na maslahi ya watumishi imekuwa changamoto. Wamepitia mengi sana ktk kipindi hiki ambayo ni vigumu sana kuyasahau, tangu kutumbuliwa, madaraja na wastaafu.

Cha ajabu pamoja na zote shida still polisi wataichagua ccm ili iendelee kuwanyima haki zao
 
We baki nyumbani tulindie nyumba,sie tukamfurushe mkoloni arudi kwao kwa kura kwanza then mengine yatafata
 
Mk
Kamatakamata/kuteka na kuwajeruhi hata kuwaua wapinzani wake wa kisiasa, wanaharakati na waandishi wa habari. Kuwapa kesi za UHUJUMU UCHUMI. Magufuli hafai

#LISSURAIS2020
Mkuu una uhakika na hashtag yako au unaandika tu ili nawewe uonekane umechangia uzi!?😁😁
 
Sasa mkuu jamaa kachangia point we tena unamtukana hivi unafikiri kumtukana mchangiaji ndo utaiondoa NEC iliyopo!?, Umetukana kwavile jamaa kaongea ukweli!?, Acheni matusi chadema mnajiharibia ninyi wenyewe☹️
ushindi wake hautakuwa realistic kwa kuwa NEC ni mali yake, ivyo kauli yako ni sawa na kujisifia kuwa umeua wengi baada ya kupiga bomu mochuari, bweha mla kuku wewe
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…