Tunaiomba DIT ifungue tawi hapa Mwanza kwa ajili ya kujaza gesi asilia kwenye magari

Tunaiomba DIT ifungue tawi hapa Mwanza kwa ajili ya kujaza gesi asilia kwenye magari

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Wote tunafahamu jinsi gharama ya mafuta ya dizeli, petroli na ya taa yalivyo ghali.

Njia pekee ya kushusha gharama hizi ni kuanza kutumia gesi asilia kujaza kwenye magari yetu na hivyo tunaiomba DIT ifungue tawi hapo Mwanza ili wananchi wanaopenda kutumia gesi kwenye magari yao wapate huduma hiyo ikiwa ni pamoja kuwa na vituo vya kujazia gesi kwenye magari.

Tayari utaratibu huu umekwishaanza Dar na hivyo huduma hii pia ni vema pia isambaze mikoani.
 
Hakuna mradi wa ovyo kama huu, hao DIT kufunga mfumo bei ghali na ni Monopoly
Pili toka 2013 kwa dar es salaam kituo ni ubungo hicho hicho kimoja, kweli serikali imeshindwa kujenga vituo hata 50 kwa dar na pwani?

Mradi konokono huu
 
Serikali haitaki mle raha 😂😂😂 wao wanafurahi kusikia mnateseka
Hakuna mradi wa ovyo kama huu, hao DIT kufunga mfumo bei ghali na ni Monopoly
Pili toka 2013 kwa dar es salaam kituo ni ubungo hicho hicho kimoja, kweli serikali imeshindwa kujenga vituo hata 50 kwa dar na pwani?

Mradi konokono huu
 
Back
Top Bottom