Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza sana jf ikawekwa ndani ya kai ios kwani watumiaji ni wengi na watazidi kuongezeka! Ni hilo tu by vvm posting via smartkitochi.
 
kai os nadhani itafunika ios ndani ya miaka michache ijayo kwa watumiaji wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom