Tetesi: Tunaisoma namba

Tetesi: Tunaisoma namba

krava

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
225
Reaction score
287
Hakika kweli sasa ndio namba zinasomeka barabara maisha yanaongeza vichaa mtaani madeni hayalipiki watu wanagombana kila mahali vikoba hatuhudhurii tena tukikutana kwenye vikoba ni mangumi na mwaka umeisha marejesho haturudishi na kugawana tumeshindwa na hii ni desemba
 
Kifo cha wengi ni harusi. Mwaka jana hatukuwa na sherehe za uhuru, mbona mwaka huu tulikuwa nazo. Mwaka huu hakuna sherehe za chrismass, ngojea tena mwakani. Turuke mwaka 1 kila wakati ili tubane matumizi.
 
Hii inapendeza sana. Sasa hiv heshima imerudi hakuna wa ngofilo/mtishet wala wa kudeki bara bara wote wanaisoma namba.
Nasubiria awamu hii iishe, nifanye party ya kujipongeza kwa uvumilivu na machungu niliyoyapitia.
Naona kwa mbali, majambaz yameanza kuvunja dirisha la JF kwa nia ya kupora kila kitu kilichomo ndani.
Karibia tunapoteana JF, tunahamia kwenye mitandao ya vichaa km fb
Gregoire. co.tz
 
Back
Top Bottom