Hii inapendeza sana. Sasa hiv heshima imerudi hakuna wa ngofilo/mtishet wala wa kudeki bara bara wote wanaisoma namba.
Nasubiria awamu hii iishe, nifanye party ya kujipongeza kwa uvumilivu na machungu niliyoyapitia.
Naona kwa mbali, majambaz yameanza kuvunja dirisha la JF kwa nia ya kupora kila kitu kilichomo ndani.
Karibia tunapoteana JF, tunahamia kwenye mitandao ya vichaa km fb
Gregoire. co.tz