Kuna haja gani ktk nchi hii maskini,inayoitaji vijana katika uzalishaji,kuwa na mashindano ya urembo na mambo ya umodel, ambapo vijana wakakamavu wanatumia muda mwingi kupamba miili yao,huku wengi wakiwa hawajui hata kupika,tunahitji mambo haya kwa sasa ?