Tunajaribu kusaidika kupata tusivyovijua kiundani na kitu tulichokiunda wenyewe. Sioni matokeo mazur ya AI mbeleni

Tunajaribu kusaidika kupata tusivyovijua kiundani na kitu tulichokiunda wenyewe. Sioni matokeo mazur ya AI mbeleni

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yes, kwa maana hii competition ya AI itafanya intelligence kuwa na uwezo mkubwa wa kuweza ku dis-organize na re -organize kwa maana naamini AI it evolve kuwa kitu kipya then kwa kutumia ubunifu wake itenda nje ya mipaka iliyowekewa na mwanadamu then itaset mipaka yake ambayo itakuwa ngumu sisi wanadamu kuweza ku-icontrol AI.
20250128_185014.png

20250128_185028.png


Then kitakachofatia ni sisi kuishi under AI rules and guidance.
 
Mkuu dunia inaenda kasi sana, wahanga wakubwa tutakuwa sisi (waafrika) tusio na mpango madhubuti wa kuinvest katika sayansi na teknolojia.
 
Yes, kwa maana hii competition ya AI itafanya intelligence kuwa na uwezo mkubwa wa kuweza ku dis-organize na re -organize kwa maana naamini AI it evolve kuwa kitu kipya then kwa kutumia ubunifu wake itenda nje ya mipaka iliyowekewa na mwanadamu then itaset mipaka yake ambayo itakuwa ngumu sisi wanadamu kuweza ku-icontrol AI.
View attachment 3216725
View attachment 3216726

Then kitakachofatia ni sisi kuishi under AI rules and guidance.
Ikizingua watu wanazima data centers zake magpu yanazima kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom