Tetesi: Tunajiposha ili kumfaidisha nani juuusafirishaji wa nyama ya mbuzi kwa kutumia Dreamliner

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
245
Reaction score
314
Pamekuwa na upotoshaji mitandaoni kutokana taarifa zinazoenea juu ya usafirishaji wa Nyama ya mbuzi kutoka mwanza kwenda Dubai kwa ajili ya matumizi ya chakula kwa kutumia ndege ya shirika la ATCL ya Dreamliner . Swali ni je Tunapotosha taaarifa ili kujifurahisha au tunapata crediti gani!!???
Kiuhalisia ni kwamba ndage hii haitafika Dubai ila nyama ndio inakwenda Dubai!! Kinachofanyika ni usafirishaji wa kutoka Mwanza mpaka Dar huku ndege ikiwa na mizigo mingine pamoja ana hiyo nyama ya mbuzi na abiria kama kawaida. Ikifika Dar es salaam Air port mzigo wa nyama ya mbuzi utapandishwa na ndege zinazoelekea Dubai kama ilivyokawaida kwenye usafiri wa ndege katika kubadirisha ndege siku hiyo hiyo na kuelekea kulikokusudiwa (Dubai)!!! Sasa tusipotoshe sana jamani
.
 
Taarifa yenyewe mtoa taarifa pia yule wa kwanza kwa nukuu yake ni ndege kuoata safari ya kwanza kwenda nje ya nchin mana ishafanya mara kadhaa safar nza ndani sasa we ndo unatoa taarifa mpya na tofauti kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wee Calvin umekula? Kwanini unapingana na walioiandaa hiyo safari? Sisi wote tusiwasikilize wahusika tukusikilize wewe, ndiyo maana niliwahi kukushauri ukafanye kazi ya kuchoma nyama baa, mbona Rombo zipo baa nyingi tu nzuri. Walisema nyama hiyo itafika siku hiyohiyo na kurudi na ni tank mbili wakati uwezo wa ndege ni tano ishirini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…