tunakagua matatizo ya magari aina zote kwa kutumia kifaa maalum cha computer

tunakagua matatizo ya magari aina zote kwa kutumia kifaa maalum cha computer

dibbo

Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
30
Reaction score
1
Habari zenu wana jf,kama gari lako lina tatizo na umeshindwa kujua ni nini,basi piga simu number 0715 367 367,tunakagua gari kutumia diagnosis tool kuangalia engine,gaer box,body parts zote ndani na nje pamoja na chassis yaani brake system,ukiona taa CHECK ENGINE inawaka kwenye gari lako basi leta tukague 0715 367 367 tupo OILCOM SAKINA,ARUSHA
 
mpo Arusha sehemu gani? ni lazima kuwapigia simu au mnaweza mkasema eneo mlipo watu wakaja? msitufanye tukaona hii biashara ni ya magumashi bana
 
Tupo arusha oilcom sakina,na kama gari lako haliwaki au limeshindwa kuja tunakufata ulipo,tunacharge 50000 kwa gari itakayokuja oilcom sakina na kwa gari itakayofatwa ni 60000
 
Back
Top Bottom