Tunakataza viroba tunarudisha vipombe vya ajabu wanaachaje kunywa wamebadili package tu

Tunakataza viroba tunarudisha vipombe vya ajabu wanaachaje kunywa wamebadili package tu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nimeonaaa majuzi tbs wanaaswa kuhusu ongezeko la vijana kunywa pombe kupitiliza na kufa gafla. Shidaa sioo kunywa vijana wananyweshwa gongo virobaa kilichobadilika n package tu.

Hii kitu niliwahi kuilaan haoaapa lile zoezi la kupiga marufuku viroba mchangawamacho unakuja. Imagine kina kampuni inauza pombe kali kwenye vidubwasha vya plastic hawajakaa mwaka wakakutana na watu zilee pombe wanachanganya na gongo.

Wataacha kufa gaflaaa? Ukisharuhusu hizi pombeee tu kubalini matokeooo kaulize Kenya La maana mwisho tuseme Mungu ndie mwamuzi wa yote.

Moshii walikamataaaa godown na nyumba kubwa ndani ina chupa za konyagi miaka kadhaa na sticker za TRA

Walee mnafikiri wanaweka konyagi sawa inavyotengenezwa pale.. Mwishooo anzia njia panda' vijana wadogo wa miaka 20 wako kama wazee wa 50yrs

Nenda maranguuu mamba kotelaa nendaaa mwika vijana wanaongea wenyewe kama wako mwezini tunaishia kulaan oooh ndugu anawaloga wapi..

Haya maviwanda feki yanajulikana na yakikamatwa mnatuonyesha kwa TV nxty amtuambiii kilichoendelea

Tusilalamike tukubali matokeoo

Edit at ur own test
 
Nimeonaaa majuzi tbs wanaaswa kuhusu ongezeko la vijana kunywa pombe kupitiliza na kufa gafla. Shidaa sioo kunywa vijana wananyweshwa gongo virobaa kilichobadilika n package tu.

Hii kitu niliwahi kuilaan haoaapa lile zoezi la kupiga marufuku viroba mchangawamacho unakuja. Imagine kina kampuni inauza pombe kali kwenye vidubwasha vya plastic hawajakaa mwaka wakakutana na watu zilee pombe wanachanganya na gongo.

Wataacha kufa gaflaaa? Ukisharuhusu hizi pombeee tu kubalini matokeooo kaulize Kenya La maana mwisho tuseme Mungu ndie mwamuzi wa yote.

Moshii walikamataaaa godown na nyumba kubwa ndani ina chupa za konyagi miaka kadhaa na sticker za TRA

Walee mnafikiri wanaweka konyagi sawa inavyotengenezwa pale.. Mwishooo anzia njia panda' vijana wadogo wa miaka 20 wako kama wazee wa 50yrs

Nenda maranguuu mamba kotelaa nendaaa mwika vijana wanaongea wenyewe kama wako mwezini tunaishia kulaan oooh ndugu anawaloga wapi..

Haya maviwanda feki yanajulikana na yakikamatwa mnatuonyesha kwa TV nxty amtuambiii kilichoendelea

Tusilalamike tukubali matokeoo

Edit at ur own test

 
Nimeonaaa majuzi tbs wanaaswa kuhusu ongezeko la vijana kunywa pombe kupitiliza na kufa gafla. Shidaa sioo kunywa vijana wananyweshwa gongo virobaa kilichobadilika n package tu.

Hii kitu niliwahi kuilaan haoaapa lile zoezi la kupiga marufuku viroba mchangawamacho unakuja. Imagine kina kampuni inauza pombe kali kwenye vidubwasha vya plastic hawajakaa mwaka wakakutana na watu zilee pombe wanachanganya na gongo.

Wataacha kufa gaflaaa? Ukisharuhusu hizi pombeee tu kubalini matokeooo kaulize Kenya La maana mwisho tuseme Mungu ndie mwamuzi wa yote.

Moshii walikamataaaa godown na nyumba kubwa ndani ina chupa za konyagi miaka kadhaa na sticker za TRA

Walee mnafikiri wanaweka konyagi sawa inavyotengenezwa pale.. Mwishooo anzia njia panda' vijana wadogo wa miaka 20 wako kama wazee wa 50yrs

Nenda maranguuu mamba kotelaa nendaaa mwika vijana wanaongea wenyewe kama wako mwezini tunaishia kulaan oooh ndugu anawaloga wapi..

Haya maviwanda feki yanajulikana na yakikamatwa mnatuonyesha kwa TV nxty amtuambiii kilichoendelea

Tusilalamike tukubali matokeoo

Edit at ur own test

View attachment 3088933
 
Back
Top Bottom