Tunakoelekea sasa kunatisha...Ndoa za kulazimisha hizi mmh!

Tunakoelekea sasa kunatisha...Ndoa za kulazimisha hizi mmh!

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Nimesikia habari RFA kwenye matukio asubuhi binti amuua mwanae kwa kumnyonga kisa aweze kuolewa
Mwanaume kamwambia hawezi kumuoa akiwa na mtoto ambaye hakuzaa nae
dawa ni kukatisha maisha
Hii imetokea Mkoani Ruvuma ..
Hivi unaweza kumnyonga mwanao kisa uolewe??
Jamani hivi tunaelekea wapi?
Kweli wanaume mnaweza kuwa na roho ngumu namna hii,,????
Akina dada Mama kweli unaweza kufanya maamuzi mazito kama haya:A S cry:

God forbid

......Inashangaza **** Inasikitisha &&&&&&&&& Na kutisha pia....

ahc_content_236512[1].jpg
 
Khaaaaaa....................Mungu wa Mbingu na nchi tusamehe.
 
shetan on duty

sometimes kichaa cha kurithi kilimpanda

ufinyu wa kufikirina kudhan kupolewani kuwin maisha

roho mbaya
 
Huyo alifundishwa kwamba mwanamke hakamiliki kama hataolewa!
Mwanamke ndoa ati!
 
mwanaume ndiye aliyetoa amri mtoto auawe?

Na huyu mwanaume akimuoa huyu mwanamke.......Naomba kusema atakuwa sio mwanadamu mwenye UTU. Ni mnyama!!!!
 
unafikiri kumnyonga huyo mwanae ndo jamaa atamwoa huyo mwana dada?
mi nafikiri huyo mwanaume alikuwa hataki mwanamke alie zaa, dada hakuelewa
 
Kinachouma na kusikitisha zaidi ukute mwanaume hizo zilikuwa ni excuses wala hakuwa na mpango wa kum oa. Huyo mwanamke unashindwa hata kuelewa alikuwa anawaza nini na kama ana akili timamu.... Inasikitisha kwa kweli, wanawake we have a long way to go. Mungu arehemu the angel.... So sad.
 
  • Thanks
Reactions: LD
Huu ni mkanganyiko ambao hauna ufumbuzi,FL1,naomba nenda kuna thread hapo "uko tayari kuwa mama wa kufikia/kambo"?,soma post nawe uchangie,kisha rudi kwenye thread ya Bishanga mtumwa hauawi,natumai utajifunza jambo!
 
Mungu anistiri na kichaa hicho kwakweli am proud kumwambia mwanamme kama nnawatoto tena nawapenda,akitaka ataoa
hataki aishie,maisha haya watu wanatafuta mtoto kwa dawa yeye anamnyonga kisa kuolewa sidhani kama akili yake iko
sawa huyo,na huyo mwanamme hana akili kabisa...
 
  • Thanks
Reactions: LD
Tabu kweli kweli kwa sasa bibie wa watu anaenda kuolewa na Gereza kwa Sababu ya mawazo finyu ya kufiki.
 
Na hapo kuolewa hakupo tena mana lazima aende lupango, na mwanaume atatafuta jembe lingine, mtoto kashamkosa... very sad..
 
ni ukatili , unyama na uuaji .. iasikitisha sana , kwani lazima ndoa??? au ndoa kama waiona ina masharti ni ya nini uikimbilie ??
 
Tunaelekea wapi tena
Mtoto niliyebeba mimba miezi tisa leo aje mtu tu kunambia nimue ndo anioe
Labda nianze na yeye
Mungu atusaidie
That is not surprising for a woman. Hakuna mwanadamu mwenye roho mbaya na asiye na chembe ya huruma kama mwanamke, kama akiamua kuwa mad au akiamua kutoshirikisha ubongo wake vema.

ama mwanamke anaweza kumuwekea Limbwata mme wa mwenzie ili atelekeze familia yake, amtunze yeye, au akaamua kumnyima chakula mtoto wa kufikia kisa hamtaki, au akawakataa wazazi wa mme kwa matusi na dharau kana kwamba si wazazi wa mwenzie.

Ooh no, how many women wamenyonga mimba kisa tu hakujiandaa kuzaa (no wonder hata hapa JF kuna zaidi ya asilimia 70 washafanya dhambi hii), how many wamezaa na kutupa mtoto chooni huku mtoto akimwangalia kwa huruma? How many wamezaa watoto na kuwatupa porini waliwe na mbwa? I hate women when it comes to ubinadamu.

People wanasema, ukiona kuna mahali unashindwa kufanya maamuzi magumu kutokana na huruma, mpe mwanamke asimamie.
 
Back
Top Bottom