FirstLady1 mi nimekapenda haka katoto.....kananitamanisha kuzaa tena
Mi nadhani wanaume tunatakiwa kuwa straight, kama huna future na mwanamke... shart gani hilo ambalo halitekelezeki .... mtoto kesha zaliwa. mwambie wazi huoi una mwingine... ila na nyie wanawake muwemnasoma alama za nyakati aaaagh!!
Yummy zaa bwana kwani tatizo nini?FirstLady1 mi nimekapenda haka katoto.....kananitamanisha kuzaa tena
FirstLady1 wababa wenyewe ndio hawa wa masharti ya kuua waliokua tayari wamezaliwa......akuuuuu acha nibaki na watatu wananitosha,kuliko kukosa wote kwa tamaaa mweeehYummy zaa bwana kwani tatizo nini?
ama baba mtoto hajapatikana ?
Dark City, na hii sijui addiction au ukichaa wa kuvaa pete kidoleni ni matokeo ya jamii inayotulea.
Ndio tunachoaminishwa tangu utotoni.
Kuna baadhi inawabidi hata kulala kwa waganga ili wavae pete hizo(desperate measure).
Hata mie natamani kujua details zaidi za huyu mwanamke.
nijibuni jamani hivi kuna nini soo special kwenye kuolewa?
Nimesikia habari RFA kwenye matukio asubuhi binti amuua mwanae kwa kumnyonga kisa aweze kuolewa
Mwanaume kamwambia hawezi kumuoa akiwa na mtoto ambaye hakuzaa nae
dawa ni kukatisha maisha
Hii imetokea Mkoani Ruvuma ..
Hivi unaweza kumnyonga mwanao kisa uolewe??
Jamani hivi tunaelekea wapi?
Kweli wanaume mnaweza kuwa na roho ngumu namna hii,,????
Akina dada Mama kweli unaweza kufanya maamuzi mazito kama haya:A S cry:
God forbid
......Inashangaza **** Inasikitisha &&&&&&&&& Na kutisha pia....
View attachment 54926
hata kama huyo mwanaume alikuwa na nia ya kumuoa, kwa gia ya kunyonga mtoto ataingia mtini........ nani anataka kuishi na muuaji?Kinachouma na kusikitisha zaidi ukute mwanaume hizo zilikuwa ni excuses wala hakuwa na mpango wa kum oa. Huyo mwanamke unashindwa hata kuelewa alikuwa anawaza nini na kama ana akili timamu.... Inasikitisha kwa kweli, wanawake we have a long way to go. Mungu arehemu the angel.... So sad.
Nimesikia habari RFA kwenye matukio asubuhi binti amuua mwanae kwa kumnyonga kisa aweze kuolewa
Mwanaume kamwambia hawezi kumuoa akiwa na mtoto ambaye hakuzaa nae
dawa ni kukatisha maisha
Hii imetokea Mkoani Ruvuma ..
Hivi unaweza kumnyonga mwanao kisa uolewe??
Jamani hivi tunaelekea wapi?
Kweli wanaume mnaweza kuwa na roho ngumu namna hii,,????
Akina dada Mama kweli unaweza kufanya maamuzi mazito kama haya:A S cry:
God forbid
......Inashangaza **** Inasikitisha &&&&&&&&& Na kutisha pia....
View attachment 54926
Sasa kama unakubali kuwa maamuzi ya wanawake yanaweza kuwa so easily influenced, Je itakuwa ni makosa tukisema kuwa ni hatari sana kumpa mwanamke nchi, maana kwa mukhtadha wako hapo juu ni kuwa mkishafanya hivyo, maana yake kitakachotokea kitategemea zaidi aina ya ushawishi ataopata huyo mwanamke na sio utashi wake binafsi. Just thinking aloud.This is so typical of men.... kazi ni kujudge, kazi ni kulaumu.... Wanaume wangapi wanashtuka, guswa ama kukaa na kutafakari kuwa yeye kachukua nafasi ipi katika yale ambayo mwanamke kafanya? Wanaume wangapi wapo accountable and responsible in such matters? Hili ni tukio tu ambalo FL1 kawakilisha hapa, ila kumbuka kuna beyond that. Kuna influences... kuna circumtances ambazo zimepelekea huyo mwanamke kutenda ukatili huo. Either the way anaishi, either yale ambayo amepitia, either hali yake ya maisha na mengine meengi! (thou bado sio excuse).
Kutumia hili tukio na kujudge wanawake tuna roho mbaya ni makosa... kuna mengi wanawake tunafanya ambayo ni imani na powerful na ambayo katika hali ya kawaida mwanadamu mwingine kama mwanaume hawezi elewa wala kufikia hicho kiwango... Akina mama wote hawa walo kuzunguka and have so much love for their kids hawatoshi kukutambusha kuwa wanawake ni extra-ordinary creatures? Lukolo taratibu kaka.....