I can sense a lot of bitterness in you, l can say the same way about men unajua.
Twende polepole, aliyetoa mimba, aliyetupa mtoto n.k yuko wapi mwanamume ambaye wakati anataka kula tunda alimsifia na kumuassure kuwa she is the best thing that happened to him?
Sisupport hata kidogo uuaji aliofanya huyo mdada lakini kabla ya hapo nikifuata thinking yako aliyempa mimba in the first place yuko wapi? Si muuaji; imagine unaleta kiumbe duniani halafu unakitelekeza na kuenda kumwaga mbegu zingine kwa wadada wengine.
Please tuseme tu ubinadamu una mapungufu lakini si wanawake tu ndio wenye shida!