Tunakopesha

1975

Senior Member
Joined
Jul 9, 2009
Posts
131
Reaction score
18
Tunakopesha hadi shilingi millioni tano hii ni kwa wakazi war Dar Tuu,

Bondi Nyumba au Kiwanja

Kwa pesa chini ya Millioni moja unaweza chukua udhamini kwa mwajiri wako (Kama usipolipa Mwajiri atalipa moja kwa moja toka kwenye Mshahara au Mali zako zitataifishwa)

0786888824/0717031290
 
Riba? Gharama za kuprocess mkopo? Muda wa kurudisha? Mmesajiliwa? Mikopo mingi siku hizi ina bima kuepuka kufilisi mali za mkopaji, mbona ninyi mnakimbilia kufilisi?

Zaidi sheria za nchi zinasemaje kuhusu kufilisi mali ya mtu aliyeshindwa kulipa deni?
*nimetoa tu angalizo*
 

Heshima kwako mkuu,Kwa dondo hizo ulizoshuka mkuu huyu harudi tena.
Maana hana hata moja anachojua.Wamekuwa wengi suku hizi hawa kama wale wabandika mabango ya Uganga
 
Hii biashara imeshamiri sana siku hizi... Na watu wanatajirika tu
 
Mnataifisha mali za mteja inamaana nyinyi ni agency ya serikali mtaifishe mali za wateja.?

Sema mtazifilisi kugharamia mkopo kutaifisha ni kubadilisha umiliki wa mali kutoka kwa mwananchi wa kawaida kuwa na umiliki wa Taifa ambapo serikali pekee ndio wanaweza kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria za utaifishaji.
 
Mkopo chini ya milioni 1 eti tunataifisha mali zako, hawana akili hawa. khaa!
 
Bora uwewe mkuu umeona hili maana wengi wa watu hawa wanakuwa matapeli wanaingia kwa gia hii halafu baada ya siku huwaoni hata zile ofsi zao zinakuwa ofisi bubu zisizotambulika kisheria
 
Yaani nikikopa 1m mnanitaifisha mali zangu wakati nazinunua mlikuwepo na mlijua nimenunua bei gani?

Aiseee kajipangeni upya mje sio mnakurupuka kuandika thread ambazo hatuwaeelewi elewi hapa
 
Yaani nikikopa 1m mnanitaifisha mali zangu wakati nazinunua mlikuwepo na mlijua nimenunua bei gani?

Aiseee kajipangeni upya mje sio mnakurupuka kuandika thread ambazo hatuwaeelewi elewi hapa

Aje na package inayoeleweka tutamsikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…