Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Katika miradi na vitega uchumi tunavyoanzisha, wengi hatuwashirikishi watoto wetu mapema.
Siku ukipata ajali, ugonjwa au kifo ndipo mke/mume au mtoto mkubwa anapokabidhiwa biashara au mradi ambao hajui ataanzia wapi kuuendesha.
Unakuta ulianzisha mradi wa ng’ombe wa maziwa, washirikishe watoto na familia kulisha na kukamua maziwa. Hata bwana mifugo akija kukaguwa wawepo na hata magonjwa ya kawaida wape kazi ya ziada kuyafanyia research huko shuleni kwao.
Hata biashara vya M-pesa, kama umeajiri kijana wa kukusaidia mpe off Jumamosi watoto uwafundishe kuendesha biashara kidogo kidogo.
Jitahidi kubalance muda wa home work na kusaidia biashara. Ile dhana vya kuwa hakuna cha bure inalipa, walipe watoto ujira mdogo kwa muda wanaosaidia.
Siku ukipata ajali, ugonjwa au kifo ndipo mke/mume au mtoto mkubwa anapokabidhiwa biashara au mradi ambao hajui ataanzia wapi kuuendesha.
Unakuta ulianzisha mradi wa ng’ombe wa maziwa, washirikishe watoto na familia kulisha na kukamua maziwa. Hata bwana mifugo akija kukaguwa wawepo na hata magonjwa ya kawaida wape kazi ya ziada kuyafanyia research huko shuleni kwao.
Hata biashara vya M-pesa, kama umeajiri kijana wa kukusaidia mpe off Jumamosi watoto uwafundishe kuendesha biashara kidogo kidogo.
Jitahidi kubalance muda wa home work na kusaidia biashara. Ile dhana vya kuwa hakuna cha bure inalipa, walipe watoto ujira mdogo kwa muda wanaosaidia.