Tunakosea

Daty

Senior Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
126
Reaction score
13
Katika jamii zetu za kiafrika hatutambulishi boy friend ila tunatambulisha mchumba
 
Ni ngumu kumtambulisha boyfriend kwana mnakuwa bado ktk wakati wa kufahamiana kwanza na mnaweza kushindwana wakati wowote na ukawa na mwingine mpaka utakapopata mtakaeendana na kwenda kwenye stage ya uchumba inayowapelekea kwenye maandalizi ya ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…