demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
KUMRADHI:
(MALENGO NI KUCHEZA FAINALI) - Admin aturekebishie kwenye Heading.
Tuko katika maandalizi ya kupambana kuwania taji la CAF.
KWENYE ligi sizungumzii sana kwasababu Bingwa anajulika.
Kuanzia sasa kwenye mashindano ya CAF iwe CAFCL au kwa walle wakina Azam CAFCC, target na malengo tunataka yake kucheza fainali tu.
Tofauti na malengo hayo ni kufeli.
Tunataka kutumia standard walliyoweka Yanga SC kama kipimo cha mafanikio. Upuuzi wa kujiwekea kipimo kidogo ili kwa sababu ya uvivu hatutaki. Ni lazima kipimo cha chini kabisa cha mafanikio kiwe medali.
Sote tukacheze mpira, tuache kutumia ULOZI. Ulozi unaaibisha Taifa letu.
Malengo ni KOMBE, likikosekana ni MEDALI.
(MALENGO NI KUCHEZA FAINALI) - Admin aturekebishie kwenye Heading.
Tuko katika maandalizi ya kupambana kuwania taji la CAF.
KWENYE ligi sizungumzii sana kwasababu Bingwa anajulika.
Kuanzia sasa kwenye mashindano ya CAF iwe CAFCL au kwa walle wakina Azam CAFCC, target na malengo tunataka yake kucheza fainali tu.
Tofauti na malengo hayo ni kufeli.
Tunataka kutumia standard walliyoweka Yanga SC kama kipimo cha mafanikio. Upuuzi wa kujiwekea kipimo kidogo ili kwa sababu ya uvivu hatutaki. Ni lazima kipimo cha chini kabisa cha mafanikio kiwe medali.
Sote tukacheze mpira, tuache kutumia ULOZI. Ulozi unaaibisha Taifa letu.
Malengo ni KOMBE, likikosekana ni MEDALI.