Tunakulilia eeh afande mwamunyange....

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Sikia kilio chetu sisi vijana wako wasikivu,japokuwa jeshi amri ni moja..lakini hata AZ WEAH AWAMU YA TATU,ITUMIKE PLZ!..sisi vijana wa 1st year 2013/14 ..SAUT,SUA,UD,UDOM,MIST,MAKUMIRA,BUGANGO,MUHIMBILI,CBE,MUCCOBS,IFM,DIT,KCMC,KIU,IMTU,HURBERT KAIRUKI,NIT BILA KUSAHAU ST.JOSEPH KIMBILIO LETU DIV.3 ZA MWSHO!.."updated-boy"
 

nakuunga mkono hata matokeo ya form four yalifutwa kwa shinikizo la TUME hivyo form six TUSHINIKIZE jkt intake 3&4 isitishwe ni hayo tu.!
nB
hata BOOM lilipanda kwa shinikizo & maandamano + mgomo
 
nakuunga mkono hata matokeo ya form four yalifutwa kwa shinikizo la TUME hivyo form six TUSHINIKIZE jkt intake 3&4 isitishwe ni hayo tu.!
nB
hata BOOM lilipanda kwa shinikizo & maandamano + mgomo

thanx bro..pamoja sanah!,bt kuna info isiyo rasmi kuwa wamesitisha awamu ya tatu..bado nafuatilia be online kujua zaid, Updated-boy
 
Jeshi sio kama siasa za fitina, wakiamu lazima wasimamie maamuzi yao. Si kwa shinikizo wala maandamano ndiyo vitawabadilisha bali kwa kufikisha barua ya ombi hilo mezani.
 
Mama yangu!!!...... Vijana kama ndio mambo mnataka hayo mtaumia hapo hamna siasa wala mjadala wala shinikizo. Jeshn amri n moja ingekuwa mnavyotaka nyinyi mngelikuta jeshi kuna wagombea au linamaandamano. Amri ni moja kifuatacho ni utekelezaji tu!........... Achen umayai huo wakulia lia jeshi ni kufungua moyo
 
Acheni uvivu hebu nendeni jeshini. Lisitishwe kwa nini sasa?
 
Jeshi sio kama siasa za fitina, wakiamu lazima wasimamie maamuzi yao. Si kwa shinikizo wala maandamano ndiyo vitawabadilisha bali kwa kufikisha barua ya ombi hilo mezani.

bt kwa majina ya jana..naiman kuna makosa ya kiufund yalitokea! Updated-boy
 

usisahau kuna AZ WEAH NA HUWA INATumika!
 
Mikanganyiko ya taaasisi za serikali bw. Hawajawai kukaaa meza moja nn? Kwanza sioni umuhimu wa tcu.
 
Mikanganyiko ya taaasisi za serikali bw. Hawajawai kukaaa meza moja nn? Kwanza sioni umuhimu wa tcu.

walikaa kikao wizara na jesh na wakafikia conclusion...sasa sijui imekuaje tenah!
 

no one is afraid of going to jkt..... Shida ni utaratibu wanaoutumia unatuchanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…