Tunakumbushana tu. Kopa kwa malengo

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kukopa sherehe kulipa matanga. Ukiwa katika harakati za kukopa ni vizuri ukafikiri kwa makini(think twice) kuna maswali ya kujiuliza kabla ya kukopa
-reasons za kukopa
-riba
-muda wa marejesho
-dhamana
Maana mkopo ni kwa ajili ya kuimprove maisha yako so haimake sense unakopa baada ya kuendelea mbele unarudi nyuma kiuchumi. Trust me katika kitu cha msingi unachohitaji kwenye maisha ni kubalance mapato yako na matumizi kushindwa kufanya hivyo ni kushindwa kusimama kiuchumi.
 
Unatuambiaje tulioikopa bodi ya mikopo tukidhani tutapata ajira na kuanza kulipa deni?
 
watumishi wa umma wanahusika hapa..
 
Unatuambiaje tulioikopa bodi ya mikopo tukidhani tutapata ajira na kuanza kulipa deni?
Kwanza nakubaliana na huu uzi.
Kuhusu mkopo wako wa elimu ya juu, hapo umepata faida ya elimu ambayo haitafutika kamwe. Kwa hiyo mkopo wa elimu ni Asset kama ulihitimu na kupata cheti.

Kuhusu ajira siyo lazima uajiriwe mkuu, kile cheti ulichopata kinakuondolea woga na kujiamini hata kama utaamua kulima nyanya. Ukisimama na kujenga hoja juu ya kilimo cha nyanya unakuwa mtu huru mwenye upeo mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…