Tunakushukuru Wambura, lakini upelelezi/uchunguzi urudiwe

Tunakushukuru Wambura, lakini upelelezi/uchunguzi urudiwe

Bashir Yakub

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
96
Reaction score
1,745
TUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.

Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.

Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.

Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.

Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.

Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.

Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.

Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.

Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar

VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo

VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.

VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni

VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....

VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio

VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena

VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................

Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.

Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.

Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.

Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.

AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.

Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.

Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
 
TUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.

Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.

Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.

Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.

Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.

Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.

Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.

Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.

Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar

VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo

VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.

VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni

VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....

VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio

VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena

VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................

Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.

Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.

Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.

Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.

AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.

Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.

Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
Hoja imeungwa mkono, ila kwa taarifa yako IGP hastahili pongezi zozote.

Dr Gwajima ndio ameongea na masauni na Masaunindio amemuamuru IGP na IGP ndio akatangaza hivyo.

Kwa kesi hii upelelezi wala hauitaji zaidi ya masaa 24 ushahidi uko wazi.

Wanasema anayelindwa ni huyu.

IMG-20240812-WA0029.jpg
 
TUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.

Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.

Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.

Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.

Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.

Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.

Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.

Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.

Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar

VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo

VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.

VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni

VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....

VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio

VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena

VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................

Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.

Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.

Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.

Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.

AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.

Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.

Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
Wakili Msomi umemaliza yote mwenye masikio na asikie.
 
Hoja imeungwa mkono, ila kwa taarifa yako IGP hastahili pongezi zozote.

Dr Gwajima ndio ameongea na masauni na Masaunindio amemuamuru IGP na IGP ndio akatangaza hivyo.

Kwa kesi hii upelelezi wala hauitaji zaidi ya masaa 24 ushahidi uko wazi.

Wanasema anayelindwa ni huyu.

View attachment 3074169
Aisee huyo ndo maza mwenyewa aliyewatuma?!
 
Hoja imeungwa mkono, ila kwa taarifa yako IGP hastahili pongezi zozote.

Dr Gwajima ndio ameongea na masauni na Masaunindio amemuamuru IGP na IGP ndio akatangaza hivyo.

Kwa kesi hii upelelezi wala hauitaji zaidi ya masaa 24 ushahidi uko wazi.

Wanasema anayelindwa ni huyu.

View attachment 3074169
Lishangazi linafaa kwa matumizi ya usiku
 
Ingeendana na 4R za raisi kama nguvu, weledi, inteligence na velocity ifanane na ile ya kijana alitecoma picha ya mkuu Chaula alikatwa ndani ya siku 2 na akahukumiwa ndani ya siku 5.

Au nguvu iliyotumikq mbeya kusambaratisha wajasiriamali wa siasa akina mbowe na lissu ingefanana na hii ya hawa wafiraji kiukweli wangeinua sana approval ratings za ccm
 
Hivi kesi ya Gekul iliishia wapi?

Kuna muda nadhani watanzania mmezoeleka , wanawafanyia visanga wakileta tamasha au msanii kafanya hiki upepo umeisha!

Nilisema kipindi kile kwa mfumo wa mahakama na polisi Tanzania , Gekul atapeta tu na ndio ilivyokuwa ila kijana aliyefanyiwa vile sidhani kama hata fidia alipata kwa psychological damage aliyofanyiwa maana hadi video zake zilikuwepo akihojiwa bila kuzibwa uso.

Huyo mama yenu mwenye hizo 4R za kitapeli kama mkataba wa DP World na Tanganyika yuko zake kwenye tamasha la mdundiko kijijini kwao kwa kodi za wananchi , hana habari wala hofu.

Ni wakati wa kutafakari.
 
Shida sana aisee, alitaka kumcover afande mwenzie, tena wote wako dodoma, inaonekana ni swaiba wake wanakutana kwenye vikoba huko.

Hatuwezi kukomesha haya maujinga kama tunataka kuficha uovu wa wengine na uovu wa wengine tunauexpose, tukubali sasa kujikana na kuchukua hatua hata kama waahalifu ni sisi wenyewe au ni ndugu zetu.

Haki hapa itendeke na Kila mtu abebe msalaba wake haijali cheo, kazi yake wala nafasi yake.
 
Hivi kesi ya Gekul iliishia wapi?

Kuna muda nadhani watanzania mmezoeleka , wanawafanyia visanga wakileta tamasha au msanii kafanya hiki upepo umeisha!
Swali zuri sana hili!
Nami niulize: Hii kazi nzuri ya Gwajima inafanyika upande mmoja tukufuatana na jinsia za wahusika?
Mkuu 'Dr Matola, PhD' hebu saidia hapa.
 
Swali zuri sana hili!
Nami niulize: Hii kazi nzuri ya Gwajima inafanyika upande mmoja tukufuatana na jinsia za wahusika?
Mkuu 'Dr Matola, PhD' hebu saidia hapa.
Gwajima ametimiza wajibu wake, baadhi ya watuhumiwa wanne wamepandishwa mahakani leo, sasa ni kazi ya Jaji kutenda haki.
 
Back
Top Bottom